Habari wana jamii forums
Kama ilivyo hapo juu ninataka kujua au kupata ufumbuzi.
Je, ni kwa namna gani unaweza kuinunua treni kutoka mabara ya America na kuweza kuifikisha hapa ilhali hakuna barabara ya moja kwa moja ya treni kutoka America mpaka huku Afrika?
Kama ilivyo hapo juu ninataka kujua au kupata ufumbuzi.
Je, ni kwa namna gani unaweza kuinunua treni kutoka mabara ya America na kuweza kuifikisha hapa ilhali hakuna barabara ya moja kwa moja ya treni kutoka America mpaka huku Afrika?