nyanda5
Member
- Nov 25, 2014
- 49
- 40
Jamani naombeni msaada kwa anaefahamu namna ya kutuma pesa kutoka Burundi kwenda Tanzania.
Mimi ni Mtanzania, kuna biashara ninafanya na rafiki yangu wa Burundi sasa changamoto ninayokabiliana nayo ni namna kuhamisha pesa ya Burundi kuja Tanzania. Kuna 5 Million ya pesa za Burundi nataka kuitoa Burundi nipate kwa TZS lakini benki za hapa Tanzania hawakubali kubadilisha pesa ya Burundi ikiwa cash, wanasema hadi iwe kwenye akaunti.
Tanzania bank zote hawakubali pesa ya Burundi. Nilitaka kutuma kwa ECOCASH hii ni sawa na M-Pesa ya Burundi lakini mawakala Burundi wanasema hawaruhusiwi kutuma pesa nje ya nchi wanarushusiwa kupokea tu.
Ukienda bank kutaka kubadili pesa ya Burundi unapewa exchange rate mbaya yaani unaishia kupata $-USD kiduchu yaani pesa yote inakata unabaki na hata dola 1000 haifiki.
Naomba ushauri kama kuna mdau yoyote anajua namna ya kutoa pesa ya Burundi kuwa TZS.
Mimi ni Mtanzania, kuna biashara ninafanya na rafiki yangu wa Burundi sasa changamoto ninayokabiliana nayo ni namna kuhamisha pesa ya Burundi kuja Tanzania. Kuna 5 Million ya pesa za Burundi nataka kuitoa Burundi nipate kwa TZS lakini benki za hapa Tanzania hawakubali kubadilisha pesa ya Burundi ikiwa cash, wanasema hadi iwe kwenye akaunti.
Tanzania bank zote hawakubali pesa ya Burundi. Nilitaka kutuma kwa ECOCASH hii ni sawa na M-Pesa ya Burundi lakini mawakala Burundi wanasema hawaruhusiwi kutuma pesa nje ya nchi wanarushusiwa kupokea tu.
Ukienda bank kutaka kubadili pesa ya Burundi unapewa exchange rate mbaya yaani unaishia kupata $-USD kiduchu yaani pesa yote inakata unabaki na hata dola 1000 haifiki.
Naomba ushauri kama kuna mdau yoyote anajua namna ya kutoa pesa ya Burundi kuwa TZS.