ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,278
- 2,364
Laki moja ni kwaajili ya application tu yani ili waitazame channel yako,wakishaona inafaa kupewa leseni ndipo wanakupa control namba ya kulipia leseni ambayo ni laki tano.u
Hivi ile laki moja kama unaanza ni unalipia kwa mwaka mzima au hio ni kwaajili ya usajili tuu ile laki tano ipo pale pale