Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka signature kwenye computer

yes2017

Member
Jul 10, 2017
29
17
Wakuu habari.
Naomba nielekezwe jinsi ya kuweka signature yangu kwa kutumia computer.

Mfano nataka nikiandika barua ya kazi na kuapply online sehemu ya kusaini kwa mkono nisaini moja kwa moja kwenye computer bila kuprint barua halafu ndo niscan
 
Sahihi siyo mpaka uchoronge mkuu. Ukiandika
M. Mwendokasi
inatosha kbs
 
Kama una laptop yenye trackpad nzuri kama macbooks unaweza sign vizuri tu kwenye software za signature nyingi tu. Ila kama huna then either ununue zipo digital pens ambazo unashika ka kalamu unachoronga unavyotaka kwenye computer.
Au andika sahihi yako, scan kwa kutumia high dpi then save kwenye email uwe nayo muda wote.
 
Wakuu habari.
Naomba nielekezwe jinsi ya kuweka signature yangu kwa kutumia computer.

Mfano nataka nikiandika barua ya kazi na kuapply online sehemu ya kusaini kwa mkono nisaini moja kwa moja kwenye computer bila kuprint barua halafu ndo niscan

Ni rahisi Sana.
1.Barua iwe ya pdf

2.Uwe na Adobe reader
Fanya hivi:
Fungua Barua.
kulia bofya "Fill&Sign"
chagua "Place Signatures"
Utaulzwa utumie
andika sahihi yako kwenye karatasi alafu elekeza kwenye
Save.
weka unapotaka Kuweka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom