Hiyo ndiyo nilikuwa najilaumu kuwa tunalumbana na watoto wa shule hapa. JF ni bora ikaweka identity ya mtu. Imagine utakuta mtoto kama huyu ati amtongoze Mama mdenyi au jje's si ni aibu?Mkuu sasa ataenda na simu shuleni????
Kumbe ndiyo wale wale, kwaaaaheriAibu ndo nini?
sasa unataka ujulikane kama ni kibabu wew ili iweje! ndio nyie mnaopiga selfie na miaka 99!Kumbe ndiyo wale wale, kwaaaaheri
Sisi ndiyo tunakufanya usome na uishi mjini! Pole kijanasasa unataka ujulikane kama ni kibabu wew ili iweje! ndio nyie mnaopiga selfie na miaka 99!
wewe na mwenzio nani? mim sikujui wew na wala hamna bin adam mwenye jukumu la kunifanya niishi bali ni allah tu! alaf kusoma hujawahi kunipa hata mia ya shule! wew.Sisi ndiyo tunakufanya usome na uishi mjini! Pole kijana
HAKUNA UKWELI JUU YA HILI. HATA UJARIBU HIVYO UNAEZA PATA FEKI. USHAURI WANGU KAMA UKO KARIBU NA ANAE JUA HIZO DIVICE NENDA NAE UKANUNUE. HUEZI JUA KITU NI FEKI WAKAT ORGINAL YAKE HUIJUI...Ukifika DUKANI ichukue hiyo calculator then fanya hiv
"BONYEZA SHIFT , 7 ,POWER ON ZOTE kwa wakati mmoja ...IKIKULETEA DIAGNOSTIC AC HIYOOOO NI ORIGINALLLLLLL ORIGINALLLL
ILA ISIPOLETA HIVYO HIYOO SIYO org
Na kuna njia nyingine ni ndefu sana nmeona hii ni rahis mkuu itakusaidia