Naomba kuelekezwa jinsi ya kulink uzi

Jane Lowassa

JF-Expert Member
May 10, 2016
4,750
8,458
JF huwa mnatusaidia sana juu ya mambo ya IT hasa sisi ambao hatujawahi kusoma kompyuta. Mfano: Mimi nilijifunza humuhumu juu ya kuandika post kwa rangi mbalimbali, kuweka picha nk

Naomba kuelekezwa jinsi ya kulink post au thread ya mtu mwingine au ya kwangu na kuifanya ionekane kwenye post mpya.

Natanguliza shukrani!
 
JF huwa mnatusaidia sana juu ya mambo ya IT hasa sisi ambao hatujawahi kusoma kompyuta. Mfano: Mimi nilijifunza humuhumu juu ya kuandika post kwa rangi mbalimbali, kuweka picha nk

Naomba kuelekezwa jinsi ya kulink post au thread ya mtu mwingine au ya kwangu na kuifanya ionekane kwenye post mpya.

Natanguliza shukrani!

Unamaanisha kama hivi?

Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Au hivi?

Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
 
Ndiyo mkuu. Namaanisha huo mfano wa kwanza. Lakini hata ukinipa ujuzi juu ya vyote viwili nitashukuru.

Natanguliza shukrani

Mfano wa kwanza, mimi huwa ninaifungua hiyo page ninayotaka kuilink, nakopy pale juu (panapoanza na www.jamiiforums.com/...) then nakuja kupaste mahali napotaka ionekane.

Wataalamu wengine watatoa njia zingine.

Mfano wa pili, nafanya kama nataka ku-quote post kule kwenye thread yake, then na-copy kutokea pale kwenye reply centre nakuja kui-paste mahali ninapotaka ionekane.

Kama kuna maswali zaidi utauliza.
 
Mfano wa kwanza, mimi huwa ninaifungua hiyo page ninayotaka kuilink, nakopy pale juu (panapoanza na www.jamiiforums.com/...) then nakuja kupaste mahali napotaka ionekane.

Wataalamu wengine watatoa njia zingine.

Mfano wa pili, nafanya kama nataka ku-quote post kule kwenye thread yake, then na-copy kutokea pale kwenye reply centre nakuja kui-paste mahali ninapotaka ionekane.

Kama kuna maswali zaidi utauliza.
 
Umekwiva.

Mfano wa pili ni hivi, fanya kama unai-quote post unayoitaka, ikishatokea inakuwa kama hivi; [QUOTE="Jane Lowassa, post: ...
.

Sasa hapo unacopy chote hicho chenye red na kwenda kukipaste mahali unataka kionekane, hata kama ni kwenye thread nyingine kabisa.[/QUOTE]
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom