Naomba kuelekezwa haya kuhusu mafao ya NSSF

Tayari nmeshaenda na wamegonga mihuri na misahihi yao kwenye fomu zangu ...nmeambia nkae tena miezi 3
Fomu wamepokea na wakakupa ike moja yenye picha? Baada ya hyo mirz mitatu watakupiga tena mingine kama miwili,ili mwez mmja kabla ya tarehe watakayokupa pesa yako itakuwa tayari mwanawane,unakamata chek unaenda nbc ubungo hpo unabeba mpunga ila kama ni mwingi uwe makini ,mafionso kama nilivyofanya mimi vinginevyo watakuotea hpo stand ya mkoa.
 
Fomu wamepokea na wakakupa ike moja yenye picha? Baada ya hyo mirz mitatu watakupiga tena mingine kama miwili,ili mwez mmja kabla ya tarehe watakayokupa pesa yako itakuwa tayari mwanawane,unakamata chek unaenda nbc ubungo hpo unabeba mpunga ila kama ni mwingi uwe makini ,mafionso kama nilivyofanya mimi vinginevyo watakuotea hpo stand ya mkoa.
Sitakubali miez mingne tena baada ya hiyo mitatu mkuu...nna akil zangu timamu siwez kuchezewa mim
 
Ninavyo fahamu mimi kwa wafanyakazi wa private siyo issue kupata mafao yako. Kama umeacha/umeachishwa kazi unapeleka tu barua ya kusitisha ajira inatoka ofisini kwako then watakupa maelekezo na ukifanya follow up basi utajua ni siku gani mpunga utamature na wanakuwekea kwenye akaunti yako ile ya mshahara.
Ila kwa wafanyakazi wa serikali sijui ikoje kwao.
Mkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma huko
 
Mkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma huko
Inawezekana mkuu kufatilia mafao yako mkoa wowote ule ili mradi tu pawepo ofisi zao eneo hilo kwani taarifa za wanachama ziko kwenye database ya mfuko
 
Mkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma huko
Kwenye tawi ulikojiandikisha uanachama.Inabidi uchome nauli urudi Dar,jiji la Bashite hakuna namna.
 
Habari wanajamvi??!!!

Ni matumaini yangu kuwa lengo la mifuko ya hifadhi ya jamii ni Kudumisha ustawi wa jamii; kumwokoa mwanachama kutokana na hali ngumu ya kimaisha pale inapobidi kwa mfano mwanachama kuvunja mkataba wa Ajira na mwajiri wake kuacha/kuachishwa kazi nk; napenda kuuliza na kujuzwa na wajuz wetu wa sheria kwenye masuala haya kisheria ktk vipengele vifuatavyo:-

1: Ni yapi malengo ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa jamii husika mf NSSF?

2: Nani anastahili kunufaika na mafao ya mfuko NSSF?

3: Ni muda gani hutumika kushughulikia mafao ya mnufaika pale ofisi inapopelekewa ombi la madai ya Mafao mpaka malipo kuja kufanyika?

KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app

Nend kwenye website yao National Social Security Fund - National Social Security Fund
 
Nimetiimiza miezi mitatu baada ya kufuangua madai ya mafao yangu nssf Oct 2017,..Sasa ni mda muafaka wa mimi kupata haki yangu pesa yangu
 
Nimetiimiza miezi mitatu baada ya kufuangua madai ya mafao yangu nssf Oct 2017,..Sasa ni mda muafaka wa mimi kupata haki yangu pesa yangu
Mkuu kuna watu wanafuatilia mafao yao mwaka sasa umepita, bado wanazungushwa tu..!!
pesa zote zimenunua bombadire..
 
Nssf
1. Wanaharibu watu kisaikolojia
2. Wanaletea watu umasikini
3. Wanafilisi watu
4. Wanaharibu familia

....... kila mwenzi wanachukua hela, ila wewe ukitaka hela yako wanasema subiri mienzi 6.. then 3... baada ya hapo wanakwambia subiri cheque week 2... ukirudi wanakwambia bado haijasainiwa njoo tena baada ya week 2...
....Ina maana mwaka unaisha. Sasa huna kazi ..unakula nini...kama ulikuwa na plan ya business inaevaporate...ulikopa nauli urudishe....ukijitoa mwenyewe hela zako hawakupi ......

Ombi..
Hela ni zangu kwanini wasitengeneze mfumo kama wa bank na special card ambayo unaweza angali salio. ... na ukijitoa warelease account yako badala ya kukimbizana na mafaili aise...
.Hela ni yangu kwanini kujitoa iwe dhambi....
 
Nssf
1. Wanaharibu watu kisaikolojia
2. Wanaletea watu umasikini
3. Wanafilisi watu
4. Wanaharibu familia

....... kila mwenzi wanachukua hela, ila wewe ukitaka hela yako wanasema subiri mienzi 6.. then 3... baada ya hapo wanakwambia subiri cheque week 2... ukirudi wanakwambia bado haijasainiwa njoo tena baada ya week 2...
....Ina maana mwaka unaisha. Sasa huna kazi ..unakula nini...kama ulikuwa na plan ya business inaevaporate...ulikopa nauli urudishe....ukijitoa mwenyewe hela zako hawakupi ......

Ombi..
Hela ni zangu kwanini wasitengeneze mfumo kama wa bank na special card ambayo unaweza angali salio. ... na ukijitoa warelease account yako badala ya kukimbizana na mafaili aise...
.Hela ni yangu kwanini kujitoa iwe dhambi....
Mkuu watz tunanyanyasana kiboya sana. .wakati wanachua wanaona raha lakini kurudisha inakuwa shida!! Hapo ni kutiana umasikini na kufanya watu kudharaulika kwenye jamii! Hivi hawa nssf hawawezi kushitakiwa?!!!
 
Back
Top Bottom