balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,433
- 12,552
Uende sasa wakupige kalenda kama mara mbili tuu ya tatu unabeba pesa.Ok poa sana ngoja..nami nisubiri wakiona mda wao wa kukalia pesa yangu umetosha watanilipa tuu!!
Uende sasa wakupige kalenda kama mara mbili tuu ya tatu unabeba pesa.Ok poa sana ngoja..nami nisubiri wakiona mda wao wa kukalia pesa yangu umetosha watanilipa tuu!!
Unatukanwa na naniHaiwezekani,mimi hapa nina mwaka toka niache kazi nazisubiri wamenambia mwezi wa kumi.Hapa hom natukanwa balaa
Hiyo tuiache tuu mkuu.Unatukanwa na nani
Tayari nmeshaenda na wamegonga mihuri na misahihi yao kwenye fomu zangu ...nmeambia nkae tena miezi 3Uende sasa wakupige kalenda kama mara mbili tuu ya tatu unabeba pesa.
Fomu wamepokea na wakakupa ike moja yenye picha? Baada ya hyo mirz mitatu watakupiga tena mingine kama miwili,ili mwez mmja kabla ya tarehe watakayokupa pesa yako itakuwa tayari mwanawane,unakamata chek unaenda nbc ubungo hpo unabeba mpunga ila kama ni mwingi uwe makini ,mafionso kama nilivyofanya mimi vinginevyo watakuotea hpo stand ya mkoa.Tayari nmeshaenda na wamegonga mihuri na misahihi yao kwenye fomu zangu ...nmeambia nkae tena miezi 3
Sitakubali miez mingne tena baada ya hiyo mitatu mkuu...nna akil zangu timamu siwez kuchezewa mimFomu wamepokea na wakakupa ike moja yenye picha? Baada ya hyo mirz mitatu watakupiga tena mingine kama miwili,ili mwez mmja kabla ya tarehe watakayokupa pesa yako itakuwa tayari mwanawane,unakamata chek unaenda nbc ubungo hpo unabeba mpunga ila kama ni mwingi uwe makini ,mafionso kama nilivyofanya mimi vinginevyo watakuotea hpo stand ya mkoa.
Mkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma hukoNinavyo fahamu mimi kwa wafanyakazi wa private siyo issue kupata mafao yako. Kama umeacha/umeachishwa kazi unapeleka tu barua ya kusitisha ajira inatoka ofisini kwako then watakupa maelekezo na ukifanya follow up basi utajua ni siku gani mpunga utamature na wanakuwekea kwenye akaunti yako ile ya mshahara.
Ila kwa wafanyakazi wa serikali sijui ikoje kwao.
Inawezekana mkuu kufatilia mafao yako mkoa wowote ule ili mradi tu pawepo ofisi zao eneo hilo kwani taarifa za wanachama ziko kwenye database ya mfukoMkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma huko
Inawezekana mkuu kufatilia mafao yako mkoa wowote ule ili mradi tu pawepo ofisi zao eneo hilo kwani taarifa za wanachama ziko kwenye database ya mfuko
Wale ni wababe mkuu,huna cha kuwafanyaomba Mungu Magu asichukue pesa mpaka muda huo ufike vinginevyo itabid uwe mpole.Sitakubali miez mingne tena baada ya hiyo mitatu mkuu...nna akil zangu timamu siwez kuchezewa mim
Kwenye tawi ulikojiandikisha uanachama.Inabidi uchome nauli urudi Dar,jiji la Bashite hakuna namna.Mkuu kwa mfano wewe ni mfanyakazi na kituo chako cha kazi ni dar umeacha kazi na barua unayo,je hayo mafao ni lazima ufuatilie kwenye ofisini zao ukiwa dar or unaweza ukafuatilia kwenye ofisini zao mkoa wowote mwingine tanzania let say kigoma huko
Acha kudanganya watu mkuu.Kama ulijiandiksha ubungo plaza,huwez kwenda hata Ilala ndo ije iwe mkoa!Inawezekana mkuu kufatilia mafao yako mkoa wowote ule ili mradi tu pawepo ofisi zao eneo hilo kwani taarifa za wanachama ziko kwenye database ya mfuko
Habari wanajamvi??!!!
Ni matumaini yangu kuwa lengo la mifuko ya hifadhi ya jamii ni Kudumisha ustawi wa jamii; kumwokoa mwanachama kutokana na hali ngumu ya kimaisha pale inapobidi kwa mfano mwanachama kuvunja mkataba wa Ajira na mwajiri wake kuacha/kuachishwa kazi nk; napenda kuuliza na kujuzwa na wajuz wetu wa sheria kwenye masuala haya kisheria ktk vipengele vifuatavyo:-
1: Ni yapi malengo ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa jamii husika mf NSSF?
2: Nani anastahili kunufaika na mafao ya mfuko NSSF?
3: Ni muda gani hutumika kushughulikia mafao ya mnufaika pale ofisi inapopelekewa ombi la madai ya Mafao mpaka malipo kuja kufanyika?
KARIBUNI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna watu wanafuatilia mafao yao mwaka sasa umepita, bado wanazungushwa tu..!!Nimetiimiza miezi mitatu baada ya kufuangua madai ya mafao yangu nssf Oct 2017,..Sasa ni mda muafaka wa mimi kupata haki yangu pesa yangu
Duh ...mkuu umenifurahisha na bomba dearMkuu kuna watu wanafuatilia mafao yao mwaka sasa umepita, bado wanazungushwa tu..!!
pesa zote zimenunua bombadire..
Mkuu njoo huku unahitajika. . .Toa pesa upate pesa
Mkuu watz tunanyanyasana kiboya sana. .wakati wanachua wanaona raha lakini kurudisha inakuwa shida!! Hapo ni kutiana umasikini na kufanya watu kudharaulika kwenye jamii! Hivi hawa nssf hawawezi kushitakiwa?!!!Nssf
1. Wanaharibu watu kisaikolojia
2. Wanaletea watu umasikini
3. Wanafilisi watu
4. Wanaharibu familia
....... kila mwenzi wanachukua hela, ila wewe ukitaka hela yako wanasema subiri mienzi 6.. then 3... baada ya hapo wanakwambia subiri cheque week 2... ukirudi wanakwambia bado haijasainiwa njoo tena baada ya week 2...
....Ina maana mwaka unaisha. Sasa huna kazi ..unakula nini...kama ulikuwa na plan ya business inaevaporate...ulikopa nauli urudishe....ukijitoa mwenyewe hela zako hawakupi ......
Ombi..
Hela ni zangu kwanini wasitengeneze mfumo kama wa bank na special card ambayo unaweza angali salio. ... na ukijitoa warelease account yako badala ya kukimbizana na mafaili aise...
.Hela ni yangu kwanini kujitoa iwe dhambi....