Naomba kuelekezwa haya kuhusu mafao ya NSSF

inyele

JF-Expert Member
Aug 8, 2017
1,645
1,258
Habari wanajamvi??!!!

Ni matumaini yangu kuwa lengo la mifuko ya hifadhi ya jamii ni Kudumisha ustawi wa jamii; kumwokoa mwanachama kutokana na hali ngumu ya kimaisha pale inapobidi kwa mfano mwanachama kuvunja mkataba wa Ajira na mwajiri wake kuacha/kuachishwa kazi nk; napenda kuuliza na kujuzwa na wajuz wetu wa sheria kwenye masuala haya kisheria ktk vipengele vifuatavyo:-

1: Ni yapi malengo ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa jamii husika mf NSSF?

2: Nani anastahili kunufaika na mafao ya mfuko NSSF?

3: Ni muda gani hutumika kushughulikia mafao ya mnufaika pale ofisi inapopelekewa ombi la madai ya Mafao mpaka malipo kuja kufanyika?

KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Malengo ya mfuko ni kukutengenezea wewe malipo ya baadae ukiacha kazi usije ukawa omba omba

2. Anaestahili kunufaika ni wewe na wao kama ofisi wanaosimamia na kuzitunza pesa zako,ndiyo maana huzifanyia biashara zizae ili walipane mishahara na ofisi iweze kuendelea kutoa huduma.kwa hiyo mnufaika ni wewe uliekua unakatwa pesa na wao wanaozitunza.

3. Ukimaliza kazi au kuaachishwa,kaa miezi 6 mtaani na baada ya hapo uende kufungua madai yako ya kuomba pesa zako,nenda na barua yako ya kuachishwa kazi na wao wataenda ofisini kwako kuhakiki kua ni kweli uliachishwa kazi,wakipata jibu na kujilidhisha wataandaa malipo yako na utapewa chaque yako ya mnoti kulingana na siku waliyokupangia kurudi ofisini kwao kuchukua hundi yako,inaweza kua ni wiki mbili mpaka mwezi mmoja

N.B- ukishachukua mnoti wako nenda katafute shamba uanze kulima au nunua hisa bank au jenga nyumba za kupangisha kwa malipo endelevu maana after job ya kuajiliwa akili ya huku mtaani hua haipo hata kidogo,biashara zaweza kukuangusha na ukajikuta unatembea unaongea peke yako barabarani.

TCHAO


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
1. Malengo ya mfuko ni kukutengenezea wewe malipo ya baadae ukiacha kazi usije ukawa omba omba

2. Anaestahili kunufaika ni wewe na wao kama ofisi wanaosimamia na kuzitunza pesa zako,ndiyo maana huzifanyia biashara zizae ili walipane mishahara na ofisi iweze kuendelea kutoa huduma.kwa hiyo mnufaika ni wewe uliekua unakatwa pesa na wao wanaozitunza.

3. Ukimaliza kazi au kuaachishwa,kaa miezi 6 mtaani na baada ya hapo uende kufungua madai yako ya kuomba pesa zako,nenda na barua yako ya kuachishwa kazi na wao wataenda ofisini kwako kuhakiki kua ni kweli uliachishwa kazi,wakipata jibu na kujilidhisha wataandaa malipo yako na utapewa chaque yako ya mnoti kulingana na siku waliyokupangia kurudi ofisini kwao kuchukua hundi yako,inaweza kua ni wiki mbili mpaka mwezi mmoja

N.B- ukishachukua mnoti wako nenda katafute shamba uanze kulima au nunua hisa bank au jenga nyumba za kupangisha kwa malipo endelevu maana after job ya kuajiliwa akili ya huku mtaani hua haipo hata kidogo,biashara zaweza kukuangusha na ukajikuta unatembea unaongea peke yako barabarani.

TCHAO


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Poa sana Mkuu; nmeipenda mwishon kwenye NB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina shida na mtu wa nssf tafadhari wakuu
Kama yupo ani pm nahitaji nipate pesa zangu siku hiyo hiyo navoacha kaz
Haiwezekani,mimi hapa nina mwaka toka niache kazi nazisubiri wamenambia mwezi wa kumi.Hapa hom natukanwa balaa
 
1. Malengo ya mfuko ni kukutengenezea wewe malipo ya baadae ukiacha kazi usije ukawa omba omba

2. Anaestahili kunufaika ni wewe na wao kama ofisi wanaosimamia na kuzitunza pesa zako,ndiyo maana huzifanyia biashara zizae ili walipane mishahara na ofisi iweze kuendelea kutoa huduma.kwa hiyo mnufaika ni wewe uliekua unakatwa pesa na wao wanaozitunza.

3. Ukimaliza kazi au kuaachishwa,kaa miezi 6 mtaani na baada ya hapo uende kufungua madai yako ya kuomba pesa zako,nenda na barua yako ya kuachishwa kazi na wao wataenda ofisini kwako kuhakiki kua ni kweli uliachishwa kazi,wakipata jibu na kujilidhisha wataandaa malipo yako na utapewa chaque yako ya mnoti kulingana na siku waliyokupangia kurudi ofisini kwao kuchukua hundi yako,inaweza kua ni wiki mbili mpaka mwezi mmoja

N.B- ukishachukua mnoti wako nenda katafute shamba uanze kulima au nunua hisa bank au jenga nyumba za kupangisha kwa malipo endelevu maana after job ya kuajiliwa akili ya huku mtaani hua haipo hata kidogo,biashara zaweza kukuangusha na ukajikuta unatembea unaongea peke yako barabarani.

TCHAO


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Mkuu mimi niliachishwa kazi tarehe 14-4-2017 nianze kufatilia lini mana nilikuanishasahau kabisa je baada yakupeleka hiyo barua na picha itanichukua muda gani wa uhakika mpaka kupata check
 
Mkuu mimi niliachishwa kazi tarehe 14-4-2017 nianze kufatilia lini mana nilikuanishasahau kabisa je baada yakupeleka hiyo barua na picha itanichukua muda gani wa uhakika mpaka kupata check
Kama umeacha na office imekupa barua kaa miezi sita toka umetoka kazini ndo uende ukafungue madai.wakijiridhisha ndani ya mwezi mmoja utapata chako
 
Back
Top Bottom