Mkuu haliitwi Kokomanga bali linaitwa Komamanga, S.Name: Punica granatum!Naomba kujuzwa namna kuandaa hili tunda kwaajili ya juice, na pia vitu naweza kuchanganya ktk hiyo juice.
AsanteniView attachment 1669120
Na wewe haliitwi Komamanga linaitwa "Kukumanga"Mkuu haliitwi Kokomanga bali linaitwa Komamanga!
Na wewe haliitwi Komamanga linaitwa "Kukumanga"
Google "Kukumanga" yangu na hiyo "Kungumanga" yako uone ipi sahihi kwa hilo tunda halafu rejeaNa wewe hilo lako wala sio kukumanga, ni 'kungumanga'!
Kungumanga ni nyingine hili ni komamangaNa wewe hilo lako wala sio kukumanga, ni 'kungumanga'!
Mh zile mbegu sio chungu kweli?Kwasababu vile vimbegu vyake ndio huwa vinaliwa nadhani ndio vitakua vinatumika kutengeneza jwisi. Mengineyo jiongeze hata google au fanya ugunfuzi mwenyewe, mfano leo unaweza ukasaga hizo mbegu tupu, kesho ukachanganya na tunda jingine kadri utakavyokua unachanganya ndivyo utapata ujuzi nalo wa kutengeneza jwisi tofauti tofauti kutumia komamanga
Zina uchachu flani sio chunguMh zile mbegu sio chungu kweli?
Komamanga/Kukumanga=Pomegranate,,,,Kungumanga=NutmegKungumanga ni nyingine hili ni komamanga
Naomba kujuzwa namna kuandaa hili tunda kwaajili ya juice, na pia vitu naweza kuchanganya ktk hiyo juice.
AsanteniView attachment 1669120
Na wewe hilo lako wala sio kukumanga, ni 'kungumanga'!
Jwisi🚶🚶Kwasababu vile vimbegu vyake ndio huwa vinaliwa nadhani ndio vitakua vinatumika kutengeneza jwisi. Mengineyo jiongeze hata google au fanya ugunfuzi mwenyewe, mfano leo unaweza ukasaga hizo mbegu tupu, kesho ukachanganya na tunda jingine kadri utakavyokua unachanganya ndivyo utapata ujuzi nalo wa kutengeneza jwisi tofauti tofauti kutumia komamanga
Nenda YouTube search how to make pomegranate juiceBado sijapata mwanga kabisa, na jf ni kama Google sometime so leteni mavitu