We jamaa una roho ya tofauti sana,nakuhakikishia utafanikiwa sana apa duniani,endelea na moyo huo.The more you give the more you receive.Natumai umepata hicho kidogo nilichojaliwa . Hiyo ndiyo sadaka yangu kwako. Mungu akukumbuke katika Utafutaji wako.
We jamaa una roho ya tofauti sana,nakuhakikishia utafanikiwa sana apa duniani,endelea na moyo huo.The more you give the more you receive.
Asante Barikiwa
Ninyi ndio mnaofanya dunia hii iendelee kuwa mahala salama, mnaiponya dunia, uendelee kubarikiwa mkuu.
Mungu akuzidishie kaka japo saivi nashukuru Mambo yanaenda japo sijapata kazi ya kudumu ila nafanya kazi ya mauzo dstv mambo sio mabaya sana....ila nashukuru sana kwani ulinisaidia kipindi kigumu sana na mungu akuongezee zaidi, kwangu mim sina mengi zaidi ya kusema nashukuru sana kwa msaada wakoAsante mkuu. juzi baada ya kumpa jamaa 50k mimi nimeingiza mil. 1 ambayo haipo kwenye hesabu. Mungu ni Mwema