La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 916
- 2,040
Habari ya leo wakuu. Natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu ninaomba yoyote mwenyewe kuweza kunisaidia kupata ajira hata Internship kwa kuanzia anisaidie hali ni ngumu mtaani, kazi na apply kila mara lakini sipati, hata nikiitwa kwenye interviews huwa nasubiri simu ya kuambiwa ni report kazini lakini wapi.
Qualifications zangu ni Bachelor Degree in Human Resources Management. GPA 3.7, nipo vizuri katika computer applications mbali mbali kama ArcMap, AutoCAD, MapSource (hizi japo sijasomea ila nilipata uzoefu wakati fulani nikiwa nafanya kazi temporary kwenye kampuni fulani) , Microsoft Office yote. Pia nina leseni ya udereva.
Nipo flexible kufanya kazi yoyote sio lazima ya profession yangu na ni fast learner.
Naomba tusaidiane wakuu. Natanguliza shukrani.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu ninaomba yoyote mwenyewe kuweza kunisaidia kupata ajira hata Internship kwa kuanzia anisaidie hali ni ngumu mtaani, kazi na apply kila mara lakini sipati, hata nikiitwa kwenye interviews huwa nasubiri simu ya kuambiwa ni report kazini lakini wapi.
Qualifications zangu ni Bachelor Degree in Human Resources Management. GPA 3.7, nipo vizuri katika computer applications mbali mbali kama ArcMap, AutoCAD, MapSource (hizi japo sijasomea ila nilipata uzoefu wakati fulani nikiwa nafanya kazi temporary kwenye kampuni fulani) , Microsoft Office yote. Pia nina leseni ya udereva.
Nipo flexible kufanya kazi yoyote sio lazima ya profession yangu na ni fast learner.
Naomba tusaidiane wakuu. Natanguliza shukrani.