Ndio wapo sahihi, michango ya nssf ni asilimia 20 ya mshahara wa mtumishi ambapo mtumishi yeye atachangia asilimia10 na muajiri naye anachangia asilimia 10 ya mshahara kila mwezi.
Hivyo basi asilimia 10 ya 200000 ni 20000
Ni halali kama utakuwa umejaza form za kujiunga na hiyo nssf. Vilevile, kama ndiyo, hayo makato ya nssf yanatakiwa yawe yameonyeshwa kwenye salary slip yako. What I mean ni kwamba ukishachukua mshahara wa kwanza omba na salary slip yako then ucheck. Wakikubiga danadana, elewa unaliwa si unaelewa bongo watu wanakaba mpaka penalt!!
wahuni hao ulijiunga lini na nssf? unless ujiunge na kwene salaryslip ioneshwe kunamakato waajir wengi wanakula pesa ya miezi ya mwanzo hata kabla hujajiunga. hiyo utakuja kuiona cku unafatilia pesa yako nssf unakuta miezi 3 hawakulipa kitu.
Wapo sawa kama umejaza fomu ya nssf. Ili kuhakiki subiria risiti ya mshahara wako. Probation iskutishe nikipindi cha mpito kwa mujibu wa sheria. Ila kifupi umeshaajiriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.