Naomba hotuba ya Hayati Nyerere kutangaza Dodoma kuwa Makao Makuu

Mwenye hio audio au video au hotuba ya maneno siku rais nyerere anatangaza azma ya serikali kuhamia dodoma Jambo ambalo raisi Magufuli alilitimiza.
Ili IWEJE hebu Wakati Mwingine tumieni Akili kwenye Mambo yenye TIJA Kwa TAIFA kama KUDAI KATIBA MPYA na KUPINGA UBAMBIKIAJI wa KESI leo MBOWE kesho Anaweza kuwa BABA yako Mdogo kule KIJIJINI kwenu
 
Mwenye hio audio au video au hotuba ya maneno siku Rais Nyerere anatangaza azma ya Serikali kuhamia Dodoma Jambo ambalo Rais Hayati Magufuli alilitimiza.
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makao Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

TANU. DIBAJI -DODOMA. KISWAHILI.jpg


MKUTANO WA TANU -DODOMA. KISWAHILI_page-0001.jpg
TANU -NYERERE  KWENDA DODOMA. KISWAHILI_page-0001.jpg
TANU -NYERERE  TO DODOMA. ENGLISH.jpg
TANU. FOREWORD -DODOMA. ENGLISH.jpg


MKUTANO WA TANU -DODOMA. ENGLISH_page-0001.jpg
 
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makuu Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

View attachment 1883931

View attachment 1883930View attachment 1883936View attachment 1883937View attachment 1883938

View attachment 1883940
Asante Sana
 
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makuu Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

View attachment 1883931

View attachment 1883930View attachment 1883936View attachment 1883937View attachment 1883938

View attachment 1883940

Mkuu Hongera.
 
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makuu Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

View attachment 1883931

View attachment 1883930View attachment 1883936View attachment 1883937View attachment 1883938

View attachment 1883940
We noma, asante sana
 
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makuu Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

View attachment 1883931

View attachment 1883930View attachment 1883936View attachment 1883937View attachment 1883938

View attachment 1883940
Ahsante sana
 
Uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika tarehe 01 Oktoba 1973 ambao uliazimia Makuu Makuu ya nchi yahamishwe kutoka Dar Es Salaam kwenda Dodoma.

Baadhi ya nyaraka zinaonesha kuwa sababu za kuhamishia Makao Makuu jijini Dodoma ni kama ifuatavyo.​
  1. Dodoma iko katikati ya nchi na kwenye kitovu cha mawasiliano ya kitaifa (Hali ya kijiografia - Mji uko katikati ya nchi).
  2. Dodoma ipo karibu sana na Arusha ambayo ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  3. Dodoma ipo mahali pema kwa hali ya usalama wa nchi na kuwa hewa yake nzuri ni muafaka zaidi katika hali ya ufanyaji wa kazi.
Maelezo zaidi naomba upitie picha zilizoambatanishwa hapa.

Pia kwa taarifa zaidi tafadhali tafuta vitabu vifuatavyo:​
  1. Sura ya Dodoma kimeandikwa na Mamlaka ya Makao Makuu (1978).​
  2. A portrait of Dodoma - Capital Development Authority (1975).​

View attachment 1883931

View attachment 1883930View attachment 1883936View attachment 1883937View attachment 1883938

View attachment 1883940
Sababu zote hizi zimepitwa na wakati na hazina tija tena.
 
Dar ishajaa na haitanuki
Foleni zake ni changamoto kubwa kwa wananchi
Nadhan mwendazake alikuwa sahihi,
Usiwaze kuhusu leo tu,
Waza kuhusu miaka hamsini ijayo dar itakuwaje,
 
Back
Top Bottom