Lameckjr
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 133
- 247
- Thread starter
- #21
Uchaguzi ulishaisha sasa hivi nikienda nitaambiwa sikuwa sehemu ya ilani ya Chama!!NGOJA TUMTAFUTE AKUTUMIE NAULI NA HELA YA GUEST, tatizo alikuwa anatumia simu ya kitochi sijui kama ana smartphone.
Ila kama unajiamini nenda kwenye ofisi ya mbunge hapo Geita onana na KATIBU WA MBUNGE atakusaidia kuongea na Mh. Msukuma.