makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,113
- 80,966
NA kwenye harusi yangu keshokutwa, nilipanga yeye ndio awe mtoa ushauri nasaha.. Kwa hali hii naogopa itanuka nnyaNa ndo tunamtegemea kama Kaka mkubwa ambae ni mshauri wetu..
NA kwenye harusi yangu keshokutwa, nilipanga yeye ndio awe mtoa ushauri nasaha.. Kwa hali hii naogopa itanuka nnyaNa ndo tunamtegemea kama Kaka mkubwa ambae ni mshauri wetu..
Mzee we vinyeooo...
Akili za kitoto hizi, kwamba single mother wote wana hali ngumu za kiuchumi? Si kweli wapo wengi tu wana kazi zao nzuri tu na wana biashara zao super tu, na wana jeuri ya kukufanya wewe kuwa sex toy yake na akakuhudumia vilevile shida zako ndogondogo.Mnawezaje kuwa na hamu na singo maza ase? Mi nilijichanganya mara moja akaanza kumfundisha mtt wake aniite baba nlipambana had tukaachana na sitarudia tena kuwa na mahusiano na sjngo maza, wanaomba hela ya kuhudumia watt wao bila aibu kama wewe ndo baba yake mtoto.
Muweke uenyekiti uone harusi inavyokuwa harusinnya..๐NA kwenye harusi yangu keshokutwa, nilipanga yeye ndio awe mtoa ushauri nasaha.. Kwa hali hii naogopa itanuka nnya
Singo maza kwangu ni haramuAkili za kitoto hizi, kwamba single mother wote wana hali ngumu za kiuchumi? Si kweli wapo wengi tu wana kazi zao nzuri tu na wana biashara zao super tu, na wana jeuri ya kukufanya wewe kuwa sex toy yake na akakuhudumia vilevile shida zako ndogondogo.
kaka kapitia harakati nyingi inafika muda uvumilivu unamshinda hivyo anaona Bora wapigwe tu maana Haina namna!Na ndo tunamtegemea kama Kaka mkubwa ambae ni mshauri wetu..๐คฃ
Namba tatu na sita umerudia kaka๐ ๐ ๐Demu Ile kuchukua namba yake ya simu mchana,jioni
1.Hajala njaa inamuuma na Hana Hela
2.Nywele zimefumuka
3.Simu yake mbovu...
Muweke uenyekiti uone harusi inavyokuwa harusinnya..
Aisee tusijerogwa mi nauma kushoto wakubwa hawasemwi.
Afu weekend anampelekea dyudyu baba Og..... kweli mtaraka hatongozwi!!!Mnawezaje kuwa na hamu na singo maza ase? Mi nilijichanganya mara moja akaanza kumfundisha mtoto wake aniite baba nilipambana hadi tukaachana na sitarudia tena kuwa na mahusiano na singo maza, wanaomba hela ya kuhudumia watoto wao bila aibu kama wewe ndo baba yake mtoto.
aaagh ona Sasa nikajua vitu viwili tofauti kumbe kimojaNamba tatu na sita umerudia kaka๐ ๐ ๐
Inaonekana umekutana nayo sana hio
Sio wajibu kumtunza girlfriend, sijui nani kawadanganya kuwa girlfriend anatunzwa na boyfriend wake. Hivi wazazi wanakuwa wamesahau majukumu ya kumtunza binti yao?Sema tu na ugumu wa kipato na tatizo la kutokuwa waaminifu. Ingekuwa mwanaume awe na girl friend mmoja hakuna haja ya kuombwa hela, ingekuwa tu ni wajibu wako kumtunza.
Mkuu pendekeza wapi tukakujengee Mnara.Kwakweli nawachukia Sana wanawake wapiga mizinga Yani unamtongoza Sasa hivi baada ya dk moja anaaanza kuomba hela ya kula au Kama Ana mtoto (singo maza) itaanza kusikia kesho nampeleka mtoto hospital Yani wanawake mnamaujinga mengi Sana mpaka mnatia kinyaaa. Acheni kuwa ombaomba uzeni hata ndizi mtaan...
Aisee tutafanyaje tena inabidi tuwavumilie tuu kama wanavotuvumilia sisi, kumbuka wao ndio mama zetu na Dada zetu๐ ๐ ๐aaagh ona Sasa nikajua vitu viwili tofauti kumbe kimoja
Bila Ile ninunulie smartphone mwenzio natumia Tecno kitochi Hadi aibu Kwa mashost zangu!
๐๐๐๐
Mi nashauri wanaume wenzangu mademu wa dizaini hii unamla na tg ili kuwe na win win situation.
Wengine ndio starehe yao
Haina namna ila inabidi ujiulize kabla ya kumtokea wewe kabla ya hapo alikua anasurvive vipi?Aisee tutafanyaje tena inabidi tuwavumilie tuu kama wanavotuvumilia sisi, kumbuka wao ndio mama zetu na Dada zetu๐ ๐ ๐