Three idiot
Senior Member
- Jul 14, 2016
- 188
- 154
Jamani naomba radhi kwa kurudia topic,ni kwa sababu hii kitu ni sensitive sana,naomba m-share experience zenu cku ya kwanza kutolewa bikra kwa wote men's and women's, haswaaa wanawake ilikuwaje after tendo,coz mm nahic kama mtu aki sex kwa Mara ya kwanza ni rahisi watu wengine kujua kama wanafamilia kama mtu bado anaishi na familia yake,coz nahic motion ya kutembea ita change.