Lis
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 471
- 345
Heshima kwenu doctors, naomba kuelimishwa juu ya hili tafadhali:-
Binafsi Nina mzunguko wa siku 27 wa hedhi, ninautumia kujua siku zangu za hatari na salama.
Lakini mwezi huu ilitokea nikafanya katika siku ya hatari, na ikanibidi ninywe emergency pills, sikuwa na jinsi.
Swali langu ni je, naweza kuendelea kufuatilia kalenda yangu kwa ajili ya kujua siku salama na hatari?au baada ya kunywa hizo pills, ndo nimeharibu mzunguko wangu siwezi kujua danger and safe days?
Kama munguko wangu utakuwa hauleweki nifanye ili nirekebishe mzunguko wangu uwe sawa?
Thanks.
Binafsi Nina mzunguko wa siku 27 wa hedhi, ninautumia kujua siku zangu za hatari na salama.
Lakini mwezi huu ilitokea nikafanya katika siku ya hatari, na ikanibidi ninywe emergency pills, sikuwa na jinsi.
Swali langu ni je, naweza kuendelea kufuatilia kalenda yangu kwa ajili ya kujua siku salama na hatari?au baada ya kunywa hizo pills, ndo nimeharibu mzunguko wangu siwezi kujua danger and safe days?
Kama munguko wangu utakuwa hauleweki nifanye ili nirekebishe mzunguko wangu uwe sawa?
Thanks.