Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 1,310
- 3,181
Ahsante kwa somo, je kwa hapa Bongo sehemu shamba darasa/ ukitaka kuona kujifunza?
Mkuu ni rahisi sana kulima, sijui uko wapi ila Ukija Arusha unaweza jifunza bure kabisa.Ahsante kwa somo, je kwa hapa Bongo sehemu shamba darasa/ ukitaka kuona kujifunza?
Wakuu nasikia hili ni mojawapo ya zao linaondoa mtu kwenye umasikin kabisa iwapo utafuata hatua zote muhimu kwenye ulimaji wake..
Naomba mwenye ujuzi atupe maujanja kidogo nataka kulima hili zao mwaka huu..
Pia ambaye anayelima au mwenye shamba darasa popote ndani ya Tanzania nipo tayari kwenda kujifunza..
Follow this link to join KILIMO FORUM WhatsApp group: KILIMO FORUMHabari Zenu wadau!
Samahani, ningependa kujihusisha na kilimo cha strawberries ila sijajua gharama zake, upatikanaji wa planting materials, mahitaji ya mmea wenyewe na pia matunzo ya zao hili.
Msaada tafadhali.
Natanguliza Shukrani zangu.
Wakuu nasikia hili ni mojawapo ya zao linaondoa mtu kwenye umasikin kabisa iwapo utafuata hatua zote muhimu kwenye ulimaji wake..
Naomba mwenye ujuzi atupe maujanja kidogo nataka kulima hili zao mwaka huu..
Pia ambaye anayelima au mwenye shamba darasa popote ndani ya Tanzania nipo tayari kwenda kujifunza..
Ufugaji wa kunguru tena teh teh tehHaya mambo ya kilimo cha paipai kinalipa, leo utackia mapera, kesho ufugaji wa kunguru unalipa lazma uingie kwa akili ukiingia kwa pupa tu unakula za uso