Mathenge
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 799
- 455
Mkuu heshima yako! Naeza pata wapi mbegu zake matunda haya?Strawberry ni moja ya matunda luxury sana ambao mara nyingi sana hulimwa kwa ajili ya ku export nje.
Ila siku za hivi karibun kwa sababu ua kuku wa Middle class na muingiliano na wageni basi utamaduni wa kuyala umekuwa ni mkubwa sana miongoni mwa jamii.
AINA YA STRAWBERRY
Aina kuu ni Fragaria genus.
Na hapo kwenye Fragaria genus utakutana na;
1. Chandler,
2. Domanil
3. pajaro
4. Douglas
5.Tioga selva
6. Rabunda
7.Tri-Star
8.Tribute
Kila aima ina sifa zake nzuri na mbaya zake pia na ziko za ukanda wa joto sa a na ukanda wa Baridi sana.
MATUMIZI
Strawberry ina matumizi mengi sana nitataja machache.
1. Kutengenezea Icecream- Mahoteli makubwa huanunua kwa ajili hiyo ya Icecream.
2. Ftesh Juice- Wanunuzi ni Mahoteli na majumbani.
3. Processed Juice- Hii ni juice iliyo packiwa
4. Yogurt- Viwanda vya kusindika maziwa wanatumia sana na ndo wanunuzi wakuu wa haya matunda.
5. Watengeneza keki- Kudecorate keki
6.Decoration kama maua ya kupamboa ukumbini.
7. Manukato
8. Kuliwa kama Freshi fruit
9. Jam
10.Sauces
13. Madawa na kadhalika.
Strawberry inapenda sana maji kiasi kwamba kama maji ni ya kutafuta kwa tochi basi usijaribu kulima hii kitu.
MBEGU
Strawberry huoteshwa miche yaani yenyewe hutoa miche ambayo huogwa runner na hizo runner huoteshwa tena.
KULIMA
Inakubali maeneo mengi sana isipokuwa maeneo yenye joto kari make haizwezi himili joto la zaidi ya 30c.
SOKO LAKE
Soko lake lipo ila mtu akiamua kutengeneza Jam mwenyewe au Ice cre basi anaweza pata pesa ziadi ya mara 4 ambayo angepata kama angeuza matunda.