Fahamu kuhusu Kilimo cha Strawberries

Strawberry ni moja ya matunda luxury sana ambao mara nyingi sana hulimwa kwa ajili ya ku export nje.

Ila siku za hivi karibun kwa sababu ua kuku wa Middle class na muingiliano na wageni basi utamaduni wa kuyala umekuwa ni mkubwa sana miongoni mwa jamii.

AINA YA STRAWBERRY

Aina kuu ni Fragaria genus.

Na hapo kwenye Fragaria genus utakutana na;

1. Chandler,
2. Domanil
3. pajaro
4. Douglas
5.Tioga selva
6. Rabunda
7.Tri-Star
8.Tribute

Kila aima ina sifa zake nzuri na mbaya zake pia na ziko za ukanda wa joto sa a na ukanda wa Baridi sana.


MATUMIZI

Strawberry ina matumizi mengi sana nitataja machache.

1. Kutengenezea Icecream- Mahoteli makubwa huanunua kwa ajili hiyo ya Icecream.

2. Ftesh Juice- Wanunuzi ni Mahoteli na majumbani.

3. Processed Juice- Hii ni juice iliyo packiwa

4. Yogurt- Viwanda vya kusindika maziwa wanatumia sana na ndo wanunuzi wakuu wa haya matunda.

5. Watengeneza keki- Kudecorate keki

6.Decoration kama maua ya kupamboa ukumbini.

7. Manukato

8. Kuliwa kama Freshi fruit

9. Jam

10.Sauces

13. Madawa na kadhalika.

Strawberry inapenda sana maji kiasi kwamba kama maji ni ya kutafuta kwa tochi basi usijaribu kulima hii kitu.

MBEGU

Strawberry huoteshwa miche yaani yenyewe hutoa miche ambayo huogwa runner na hizo runner huoteshwa tena.

KULIMA
Inakubali maeneo mengi sana isipokuwa maeneo yenye joto kari make haizwezi himili joto la zaidi ya 30c.

SOKO LAKE

Soko lake lipo ila mtu akiamua kutengeneza Jam mwenyewe au Ice cre basi anaweza pata pesa ziadi ya mara 4 ambayo angepata kama angeuza matunda.

0c9dae5d3d1b822feafe1717adddbef7.jpg


447516f03ac6e31783307fc7b6e717ad.jpg
Mkuu heshima yako! Naeza pata wapi mbegu zake matunda haya?
 
Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...

Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
 
Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...

Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
Mkuu Mavuno kwa mche mmoja ni wastani wa Gram 20 na kwa wiki unachuma mara 2 hadi 3.

Na mashina 50 yanaweza kutoa kilo kwa mchumo mmoja.

Changamoto kubwa ni kwamba zinataka maji majiaji bila majihiwezi lima.

Mbole zinapenda sana Samadi.

Swala.la wadudu sio sana labda fangasi kwenyea majani kipindi cha mvua na unaweza piga dawa ya kawaida ya fangasi.

Pia uhifadhi wake ni kwamba zinaweza kaa siku 3 baada ya kuvunwa. Hapo ni kama huna fridge.

Ila kwenye fridge zinaweza kaa siku 30.
 
Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...

Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
Sehemu yoyote isiyo kuwa na udongo wa kichanga.

Pia joto lisizidi 30c

Maji yawe ni ya uhakika na si ya kubipu
 
Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...

Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k

Siajabu hata yeye hajui !
 
Acha utapeli hujawahi kulima strawberry na wala hutawahi kwa hiyo usishawishi watu kitu ambacho hujawahi kufanya
Ulitaka kwanza Mama ako apate taarifa? Hahaa shinda humu kusifia na kupingana wanaume wenzako, wanapiga pesa wewe uko bise kupingana sijui kwa akili zako za kushikiwa ulitaka niwaandikie Barua ukoo wenu kuwaarifu kwamba nalima
 
Back
Top Bottom