Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,856
- 8,876
Fursadi au FursanaHivi hilo zao halina jina kwa kiswahili?
Fursadi au FursanaHivi hilo zao halina jina kwa kiswahili?
Mkuu ahsante kwa kunijuza,hata kama jibu limechelewa lakini nine elimika.UbarikiweFursadi au Fursana
Fursadi sio blackberries?Fursadi au Fursana
Gharama zake ni kuandaa shamba, vifaa vya umwagiliaji, mbegu na mbolea, usafishaji shamba na vifaa vya kuvunia bila kusahau kusafishia miche. Kama ukihitaji miche nitafute
Mche mmoja ni Tshs 500 mkuu
Tafadhali mzalendo nicheki kwa 0716107737 nna shida na we plz!!....Ni kweli Morogoro strawberry zinakubali vyema, mimi nalima huko
Hivi strawberry kwa kiswahili zinaitwaje?
Mkuu forosadi zinafanana ila sio zenyewe...forosadi ni miti mikubwa kabisaForosadi
MKUU NITAFUTE 0764020127 NAHITAJI MICHEMche mmoja ni Tshs 500 mkuu
Yeah last week nliiona mshkaji kanunua gram 500 kwa shiling 10000 za kitanzania so what am I waiting????Kama ukienda Singida ukipita manyoni kuna jamaa alikuwa analima anauza nje sijui alikuwa anapata wapi mbegu hata mi nataka ni zao lenye pesa sana