Lameckjr
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 133
- 247
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo!
Poleni na Majukumu ya kimaisha na harakati za kila siku.
Leo nakuja kwenu tena hapa nikiomba kuunganishwa na mtu ambaye anafanya kazi pale shirika la chakula Duniani (Tanzania)
WFP hasa kitengo cha ajira.
Lengo ni kuwa niweze kuteta naye machache.
Asante sana
Poleni na Majukumu ya kimaisha na harakati za kila siku.
Leo nakuja kwenu tena hapa nikiomba kuunganishwa na mtu ambaye anafanya kazi pale shirika la chakula Duniani (Tanzania)
WFP hasa kitengo cha ajira.
Lengo ni kuwa niweze kuteta naye machache.
Asante sana