Naomba Connection ya mtu aliyepo WFP Tanzania

Lameckjr

Senior Member
Sep 26, 2020
133
247
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo!

Poleni na Majukumu ya kimaisha na harakati za kila siku.

Leo nakuja kwenu tena hapa nikiomba kuunganishwa na mtu ambaye anafanya kazi pale shirika la chakula Duniani (Tanzania)
WFP hasa kitengo cha ajira.

Lengo ni kuwa niweze kuteta naye machache.

Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom