Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wewe, kama walivyo makada wengi wa CCM, na 'wafuasi' lukuku, hukuelewa kabisa nilichoandika simply because pamoja na yote uliyosema bado unan'gan'gania CCM hushinda kwa njia ya halali kabisa in a very level playing field. Kwa mfano, kwa jinsi akili yako ilivyogandia upande mmoja, katika topic yalo hukuitaja kabisa NEC (tume ya Uchaguzi) jinsi isivyo halali na huru! Na hiki ndicho kitu kikubwa kulikoi vyote katika chaguzi za kidemokrasia halisi.
Kama bado unao ubavu kuhusu hili la NEC, tulijadili kwa kinana uone iwapo CCM imekuwa ikishionda kwa halali. Come on....
Well said Zak. Ukiacha uhovyo na uharamu wa NEC, kuna mengine mengi ambayo hayko sawa katika kuleta demokrasia ya usawa, mambo ambayo serikali ya CCM inayafahamu sana na haitaki kuyarekebisha kwa sababu inaogopa itakuja kupoteza madaraka. Mengi sana!