Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,910
- 63,890
Ndiyo hua nasoma, niliuliza kwa sababu sikua na uhakika kama ni wewe au ni wakudadavuwa.Hivi kumbe huwa unasoma posti zangu? Hahaha, kwani ni uongo kusema mungu wa gy ni mungu wa kurushia wengine mapepo? Ktk ukristo Mungu wetu ni Mungu wa huruma, husamehe na kuombea adui zake, ni Mungu wa kikristo ni Mungu wa upendo na habagui. mungu wa gy anaruhusu kutukana watu madhabahuni, ni mungu anayeruhusu kuuza madawa
Swala langu mimi halikua kwa mungu wa Gwajima, lilikua kwenye conclusion yako ya kusema Clouds ni chombo cha wauza madawa, ukasahau Makonda na Magufuli ni wapenzi wakubwa wa hiko kituo.
Kibantu tunasema ukitembea na mwizi...?
Na hapo hapo yuko bize na GSM, yuko na zawadi za kutoka GSM na aliowataja kua ni drug dealers.
Wasomi wetu mnaenda wapi?