Naomba apatikane Msuluhishi Huru kuhusu mahusiano kati ya Mh Paul Makonda na Askofu Gwajima

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,354
Wanabodi wa JF tusaidiane mawazo ktk hili.

Ni muda sasa naona kumekuwa na mapambano na mashambulizi Mara baada ya Askofu Gwajima kutangazwa hadharani na Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar kuhusiana na vita dhidi ya madawa ya kulevya.

Askofu Gwajima amekuwa kila Jumapili ktk Ibada zake ni kutoa mashambulizi dhidi ya Paul Makonda kitu ambacho sidhani kama ni fair sana kwa waumini wake lakini inaweza kuwa ni furaha kwa sisi wapenda story za udaku.

Kwa uzoefu wangu kijamii naona hali mbele ya safari si salama sana kwasababu mashambulizi ya kudhalilishana Mara nyingi mwisho wake huwa ni mbaya.

Na Askofu amediriki kusema jpili hii kuwa haogopi kufa sasa naona ameanza kuweka mazingira fulani kwa waumini wake kuwa kuna tukio linaweza kutokea na yeye yuko tayari.

Sasa mahubiri kama hayo kwangu Mimi si mazuri sana ...mfano siku imetokea bahati mbaya baya lolote limemtokea unafikiri waumini watafikiri nini cha kwanza??

Nilikuwa na mtazamo tu kabla hatujafika mahali pabaya naomba watu wenye busara waangalie namna ya kuwasuluhisha watu wawili ili amani moyoni mwao itawale.

Ni wazo tu lakini kwasababu naona mambo yanayoongelewa juu ya mwinhine ni mambo binafsi

Nawasilisha
 
Wewe hujajua tu chuki iliyopo kwa gwajima inapandikizwa na mtu mzito zaidi ya huyo gwajima ndio maana hata kitendo cha jeshi kuchukuliwa kumsuport rc kuvamia clouds kitakupa jibu kuwa rc hili bifu anawekwa sura yake kwa niaba ya mtu fulani...
 
Wewe hujajua tu chuki iliyopo kwa gwajima inapandikizwa na mtu mzito zaidi ya huyo gwajima ndio maana hata kitendo cha jeshi kuchukuliwa kumsuport rc kuvamia clouds kitakupa jibu kuwa rc hili bifu anawekwa sura yake kwa niaba ya mtu fulani...
Najua unachosema but want these two figures to stop hii public attention ambaye wameiweka.

Pili naogopa sana coincidence in case lolote likitokea kwa mmoja wapo kwa sasa wakati kuna tension kubwa hivi mass haitaelewa.Utajua tu hili limetokea kwa makusudi kumbe ni coincidence tu
 
Ubabe ubabe nan asuluhishe mijitu mizima kama iyo yaan ziro ziro yoteee.
Wanahitaji msaada hao ndugu hata ni watu wazima.

Hali iko tete sana hujui tu tension iliyopo maana kuna usaliti mkubwa sana ndani ya wapambe wa kila mmoja.

Sasa isije ikifikia ukisikia hali ya hatari upande mmoja halafu tukaanza tena kulaumiana.

Sisi wengine tunajua watu wenye hulka kama hizi nini wanaweza kufanya and they don't care.

Naomba tu suluhu ipatikane I don't want to hear that someone lost.

Everybody deserved to be respected in the public
 
Some thing can't stay buried...
Bashite toa vyetiiiiii
Kaka Gang Chomba mambo vipi? Naona kijana anaongea mambo yasiyoeleweka, anataka mambo yaishe ili iweje? Ina maana anaridhia jamaa kutumia vyeki ama? Ndio maana chama tawala kinatoa majibu ya hovyo sababu kinajua kikiwaletea vilaza kanga watasamehe.
 
Unahoja ya msingi sana,tena naweza ipa nafasi ya juu sana ktk viwango vya hekima, japo umejiexpose kwa kudai Gwajima anazungumza habari za udaku.
Sorry kwa hilo but Nina maana kuwa kuna watu wanaopenda kusikia story zinazohusu MTU na mambo yake.

Mfano labda uanze kumuelezea MTU Fulani kuhusu jinsi alivyo kitabia MTU Mbeya sana,mnafiki sana,labda aliwahi kufanya hili na lile ambalo kwa hadhi yake huwezi Amini kama anaweza kufanya...ndiyo nikasema kuna waumini wengine story kama hizo za udaku wao wanazipenda.
 
Wanabodi wa JF tusaidiane mawazo ktk hili.

Ni muda sasa naona kumekuwa na mapambano na mashambulizi Mara baada ya Askofu Gwajima kutangazwa hadharani na Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar kuhusiana na vita dhidi ya madawa ya kulevya.

Askofu Gwajima amekuwa kila Jumapili ktk Ibada zake ni kutoa mashambulizi dhidi ya Paul Makonda kitu ambacho sidhani kama ni fair sana kwa waumini wake lakini inaweza kuwa ni furaha kwa sisi wapenda story za udaku.

Kwa uzoefu wangu kijamii naona hali mbele ya safari si salama sana kwasababu mashambulizi ya kudhalilishana Mara nyingi mwisho wake huwa ni mbaya.

Na Askofu amediriki kusema jpili hii kuwa haogopi kufa sasa naona ameanza kuweka mazingira fulani kwa waumini wake kuwa kuna tukio linaweza kutokea na yeye yuko tayari.

Sasa mahubiri kama hayo kwangu Mimi si mazuri sana ...mfano siku imetokea bahati mbaya baya lolote limemtokea unafikiri waumini watafikiri nini cha kwanza??

Nilikuwa na mtazamo tu kabla hatujafika mahali pabaya naomba watu wenye busara waangalie namna ya kuwasuluhisha watu wawili ili amani moyoni mwao itawale.

Ni wazo tu lakini kwasababu naona mambo yanayoongelewa juu ya mwinhine ni mambo binafsi

Nawasilisha

Nuru hulishinda giza siku zote.
 
Mmoja yupo na hapa kazi tu na ni kiongozi jembe

Mwingine kapata wanya ya biashara yake kuongeza kipato, na amewapata wengi kweli kweli haswa kwa kikaratasi.

Hapa kazi tu, hakuna kubembelezana hata iweje.

Makonda oyeeeeeee
naomba kujua kama wewe ni mke wa makondakta au wewe ni makond...mwenyewe maana kwa huyu jamaa umejitoa akili kabisa wewe kazi yako ni kupingana na ukweli
hivi alishavitoa vyeti kweli au machozi bado
hayajakauka
 
Samahani Mkuu, uelewa wako mdogo sana wa kuweza kuchambua na kutathmini mambo na athari zake, sababu za kukwambia hivyo ni nyingi tu, moja wapo ni hizi:-

01. First and fore most, You are totally ignoring the criminal acts substantiated by Mkuu wa Mkoa.

02. Secondly, Makonda criminal acts perpetuated in public and private has nothing to do with Gwajima at the first place, you need to call on police force to reprimand the criminal, then prosecutor to gather evidence and put the man in court, in fact all of these, has nothing to do with President whether he likes him or not. Your argument and solution to this issue is a fallacy on its own right.

03. You are totally ignoring the 50million citizen including media houses in this country, who are now living in fear and persecution, their conscious has been raped and ripped, thinking what's next?, these acts never happened before in our recent history, EVER well it happened to JamiiForums office recently, and you think it is about two individuals and nothing to do with Tanzania in general.

04. Fourth and most important, this country is governed by law and order and more importantly constitution, we all should respect that, and if you are ignoring a simple fact like this, then I'm really sorry to say, what you have written is really dumb and stupid. Are you implying that anything you say indifference to me, should I gather a force and come to terrorise you in person.

06. Lastly, you are indirectly implying the same should happen to this forum and what really happen to one of the director of this jamii forum, incarcerated and now in Court proceedings because of airing your views? Does that make sense to you, It isn't ok for you and me not to air our views or in fact reporting the criminal acts to authority?

And now you are dismissing the facts and you are belittling the issue and implies this is about 2 individuals, and it is ok for public official to put other innocent people in danger and in fact at gun point, because of their indifference btn the two, is that even a logic??
 
Back
Top Bottom