Sir M.D.Andrew
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 201
- 37
Ndugu zangu,nina kijana wangu amemaliza kozi ya ualimu mwaka huu,amefauru masomo yote ya ualimu wa primary isipokuwa somo moja tu la UALIMU,Akaandikiwa FAILED,Nahitaji kukata rufaa naomba msaada mwenye kujua anieleweshe.tafadhali sana