Naomba analysis ya hizi sample za beats

Obadiahmayunga

Senior Member
Sep 19, 2014
163
109
jamani naomba analyss ya hizi sample za beats please let us be positive minded na ushauri mzuri unahitajika
 

Attachments

  • melody6.mp3
    3.1 MB · Views: 70
  • melody6 (1).mp3
    3.1 MB · Views: 54
  • melody34.mp3
    2.5 MB · Views: 62
sample nyingine ya beats hiyo hapo wanau naomba analysis natumia DAW inaitwa LMMS
 

Attachments

  • mayunga3.mp3
    8.4 MB · Views: 41
Je unajua muziki?
Je unataka utengeneze muziki wa aina gani?
Labda nijibu kwanza hayo maswali kisha niweze kueleza zaidi. Kwa upande wangu as Music expert.
 
i love doing all music
okay naomba unipatie shule kaka please wapi nakosea wapi napatia napenda saaaaaaaaaana hiphop music unajua beat maker ndio wanatransformmusic kama vile bob marley alivyochanganya ska and jazz and r&b nakuzalisha reggae music
 
This is 1/4 Beat or you can called it 4/4
 

Attachments

  • 4by4.mp3
    325.6 KB · Views: 43
i know the basic of music kaka sio kilaza saaaaaana
Ungekuwa unajua ninauhakika ungeelewa kuna makosa gani kwenye hizo beats zako. Wewe huelewi kwanini nimekuuliza unataka kutengeneza music wa aina gani?
Naomba kwanza unijibu swali hilo.
 
Ungekuwa unajua ninauhakika ungeelewa kuna makosa gani kwenye hizo beats zako. Wewe huelewi kwanini nimekuuliza unataka kutengeneza music wa aina gani?
Naomba kwanza unijibu swali hilo.
napenda kuproduce music wowote ule kaka
 
Ungekuwa unajua ninauhakika ungeelewa kuna makosa gani kwenye hizo beats zako. Wewe huelewi kwanini nimekuuliza unataka kutengeneza music wa aina gani?
Naomba kwanza unijibu swali hilo.
kaka naomba utoe elimu yakokwangu no need of many words kaka
 
Hii beat ni 3/4 or 1/3
 

Attachments

  • 3by4.mp3
    325.6 KB · Views: 39
Kisha unatakiwa ujifunze Combinations ya keys kwenye keyboard.
Anza na Do, Re, Mi, Fa, So, La, Ti.
Kwenye Piano(Keyboard) Key iliyo rahisi sana ni C.
Hiyo inahusisha key zote nyeupe kwenye Major key bila kugusa Keys Nyeusi.
 
Back
Top Bottom