Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi,
Naona aibu mimiView attachment 1731805
Mataga hao, wamevurugwa sasa wanaona dawa ni kuandika matusi kila sehemu.Hii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi,
Naona aibu mimiView attachment 1731805
Fua mzee zama yutoube pesa hufulia na kapasi juuHii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi,
Naona aibu mimiView attachment 1731805
Kwamba nini yako? Aisee pole sana asa na wew vizia ucku ukanunue kitu dukan umtusi mwenye duka nae akiipata atajua anaipeleka wapi. .Hii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi,
Naona aibu mimiView attachment 1731805
Inatumika vizuri tu hiyo, chomekea nae atachomeka mwisho itaenda bankHii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi,
Naona aibu mimiView attachment 1731805
Mataga hao, wamevurugwa sasa wanaona dawa ni kuandika matusi kila sehemu.
Hata walipovamia uwanja wa ndege, wameiandika matusi ndege kila sehemu
Mtu akiwa maskini anaanza kutafuta mchawi kumbe amezitumia noti zetu kutukana..
Ndio ndio mkaldayo..leta maneno,,ndo shemeji yetu sio?