juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Waungwana habari,hivi sasa naandika uzi huu ni saa nane na dakika 16usiku.nina usingizi ila naogopa kulala kwani nahisi kuna mtu chumbani kwangu.kibaya zaidi nakaa nyumba nzima peke yangu,nimeenda sebuleni ila napo naogopa sana,nahisi kuna mtu ananichungulia huku anacheka.hii inasababishwa na nini.maana kila nikitaka kusinzia nakwama.nashtuka nahisi kuna mtu.kwa mnajua niambieni nifanyeje ili niwe na amani,na ili nilale