Naogopa kuendesha gari

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,937
26,647
Wadau, nina mwaka mmoja tangu nijifunze kuendesha gari, but nina tatizo moja ambalo linanisumbua. Ni kwamba, ninaogopa sana ku drive kwenye highway na ninapokuwa ninapishana na magari huwa nalazimika kupunguza mwendo though speed ninayo tumia ni ndogo. Sijui hili ni tatizo gani? Naomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze ku overcome? Asanteni sana
 
Wadau, nina mwaka mmoja tangu nijifunze kuendesha gari, but nina tatizo moja ambalo linanisumbua. Ni kwamba, ninaogopa sana ku drive kwenye highway na ninapokuwa ninapishana na magari huwa nalazimika kupunguza mwendo though speed ninayo tumia ni ndogo. Sijui hili ni tatizo gani? Naomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze ku overcome? Asanteni sana

wonders will never cease!

 
mbona hivyo ni safi sana, maana mara nyingi wakati unapishana na gari kama lorry huwezi jua kama kuna basi kama Super Feo,Dar express ita overtake pembeni yake.hivyo wewe una kua on safe side kuingia porini kwa usalama wako
 
mbona hivyo ni safi sana, maana mara nyingi wakati unapishana na gari kama lorry huwezi jua kama kuna basi kama Super Feo,Dar express ita overtake pembeni yake.hivyo wewe una kua on safe side kuingia porini kwa usalama wako

Sijui udereva wa wapi huu wa kujiandaa kuingia porini.

Kumbe kwenu Songea eeh, asante kwa taarifa. Summry vipi, imekufa?
 
Wadau, nina mwaka mmoja tangu nijifunze kuendesha gari, but nina tatizo moja ambalo linanisumbua. Ni kwamba, ninaogopa sana ku drive kwenye highway na ninapokuwa ninapishana na magari huwa nalazimika kupunguza mwendo though speed ninayo tumia ni ndogo. Sijui hili ni tatizo gani? Naomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze ku overcome? Asanteni sana

Mimi ushauri wangu ni USIENDESHE GARI. Confidence ndio msingi wa uendeshaji salama. Kukumbwa na uoga ni dalili kwamba huna hakika na unachofanya kwamba ni sahihi au lah. Maamuzi ya mtu mwenye hofu barabarani ni janga.

Si kila mtu anaweza kuwa dereva kwa hivyo kuliko kujilazimisha kwa kuwa kuna watu wanakucheka, bora uache ili uwe salama na usihatarishe maisha ya watu wengine pia.
 
Mimi ushauri wangu ni USIENDESHE GARI. Confidence ndio msingi wa uendeshaji salama. Kukumbwa na uoga ni dalili kwamba huna hakika na unachofanya kwamba ni sahihi au lah. Maamuzi ya mtu mwenye hofu barabarani ni janga.

Si kila mtu anaweza kuwa dereva kwa hivyo kuliko kujilazimisha kwa kuwa kuna watu wanakucheka, bora uache ili uwe salama na usihatarishe maisha ya watu wengine pia.

Mtoa mada chukua huu ushauri..
 
Ndo shida ya kujifunzia nyumbani/ uchochoroni. ...km ungejifunza driving school ungekua na bonge la confidence. ..na panawafaa waoga km nyie
 
Kwanza shinda woga wako...

Pia anza barabara ndogo za uswazini

Kisha piga moyo konde ingia mjini
 
ili kupata uzoefu endesha ukiwa na mtu ambae ni mzoefu pembeni, yeye atakuwa anaku guide vizuri....hakikisha unfanya mazoezi ya ku overtake hasa magari makubwa, utaondoka woga wote kiongoz.....njia pekee ya kujifunza kuogelea ni kujitosa kwenye maji
 
Sijui udereva wa wapi huu wa kujiandaa kuingia porini.

Kumbe kwenu Songea eeh, asante kwa taarifa. Summry vipi, imekufa?

mkuu uso kwa uso si bora uingie porini!kwetu mbinga na Super feo leo wamezindua safari ya moja kwa moja (Dar-Mbinga) unakaa kwenye bus mpaka unachanganyikiwa
 
hahahahahaha!! Nimefurahi sana nakumbuka Nilikua naelekea kaskazini(migombani) na My young bro kutoka Dar ...dogo akawa anangangania sana ku-drive.nikamwambia uendeshaji wa huku unahitajika uwe nunda akabisha sana baada ya segera nikampatia mashine ,,kwani alichukua hata dk10 alipaki pembeni akasema bro ukitaka tufike leo hii njoo drive ila kama unataka tufike kesho naweza kuendelea.....Na ni direva mzuri tu kwa Dar.
 
fuata sheria saaaana, usiende mwendo mkali, usipatwe na wasiwasi unapopigiwa honi, usigeuke ukipigiwa honi, utazoea si muda mrefu. unaishi wapi?
 
Wadau, nina mwaka mmoja tangu nijifunze kuendesha gari, but nina tatizo moja ambalo linanisumbua. Ni kwamba, ninaogopa sana ku drive kwenye highway na ninapokuwa ninapishana na magari huwa nalazimika kupunguza mwendo though speed ninayo tumia ni ndogo. Sijui hili ni tatizo gani? Naomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze ku overcome? Asanteni sana
Umejifunzia wapi kuendesha gari?
 
Mimi ushauri wangu ni USIENDESHE GARI. Confidence ndio msingi wa uendeshaji salama. Kukumbwa na uoga ni dalili kwamba huna hakika na unachofanya kwamba ni sahihi au lah. Maamuzi ya mtu mwenye hofu barabarani ni janga.

Si kila mtu anaweza kuwa dereva kwa hivyo kuliko kujilazimisha kwa kuwa kuna watu wanakucheka, bora uache ili uwe salama na usihatarishe maisha ya watu wengine pia.

Lakini si ndio hataendesha kamwe? Mimi huwa nina imani kuwa ujasiri unapatikana barabarani, au nakosea?

Ila kama mwaka mzima hali ni hiyo hiyo, inawezekana ushauri wako ukawa bora zaidi......ampatie mtu ajira tu aendeshwe.
 
Wadau, nina mwaka mmoja tangu nijifunze kuendesha gari, but nina tatizo moja ambalo linanisumbua. Ni kwamba, ninaogopa sana ku drive kwenye highway na ninapokuwa ninapishana na magari huwa nalazimika kupunguza mwendo though speed ninayo tumia ni ndogo. Sijui hili ni tatizo gani? Naomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze ku overcome? Asanteni sana

Mkuu, kama umeendesha gari mwaka mzima na bado hauna confidence barabarani ni bora ukaacha kuendesha, TAFUTA DEREVA umwajiri!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom