Nao washaita

dah kama na CAG nae anachunguzwa ishu ya Jairo, huo mchakato c unaweza kusogezwa mbele?
uvumilivu wa hali ya juu unahitajika wakuu
 
Mweeee! Nini kuita wametoa majina ya interview ya mwanzo watu wanalia kiama. Hata kama umechaguliwa leo bado kuna wakati mgumu sana mana katika 300 wanatakiwa watu 100. Mihwe upo hapo mama sipati picha zakwetu ztoke 100.
 
Tafuta magazeti ya jana ya uhuru na daily news yameshort-list watu 300 kwa ajili ya intavyuu
 
wakuu naomba mnisaidie nipo chaka nimekosa majina mwenye nayo atuwekee kaka coz kwenye web yao hakuna majina msaada jamani
 
mkuu fanya mpango wa kudownload
haya hapa sasa.
 

Attachments

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.pdf
    437.7 KB · Views: 311
Nini shost! Hakuna cha mia wala kumi,mi naona wananitatiza tu.Zile za chuo hadi leo kimyaaaa kama kafa panya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom