GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kuna Media moja imeniomba nipendekeze Jina la Mwanadada ambaye Mimi naona ndiyo anaweza Kusoma vyema kabisa taarifa ya Habari na ana Mvuto kiasi kwamba akiwa anasoma hiyo Habari basi si tu kwamba ataishia Kuwahabarisha bali pia atakuwa anawavutia kwa Urembo wake na kuwafanya Watu wawe wanaangalia tu Tv yao.
Je kati ya Ivona Kamuntu wa Azam tv na Farhia Mildred wa ITV nimpendekeze nani?
Tujadili.
Je kati ya Ivona Kamuntu wa Azam tv na Farhia Mildred wa ITV nimpendekeze nani?
Tujadili.