Mtangazaji bora anayevutia ukimtizama akisoma Taarifa ya Habari Azam TV na ITV

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,417
108,523
Kuna Media moja imeniomba nipendekeze Jina la Mwanadada ambaye Mimi naona ndiyo anaweza Kusoma vyema kabisa taarifa ya Habari na ana Mvuto kiasi kwamba akiwa anasoma hiyo Habari basi si tu kwamba ataishia Kuwahabarisha bali pia atakuwa anawavutia kwa Urembo wake na kuwafanya Watu wawe wanaangalia tu Tv yao.

Je kati ya Ivona Kamuntu wa Azam tv na Farhia Mildred wa ITV nimpendekeze nani?

Tujadili.
 
Ivona Kamuntu.

4822A489-6E50-466D-B822-B99D4C72A7D1.jpeg
 
Sikumbuki Mara ya mwisho kuangalia taarifa ya hbr n lini..... Ngoja watazamaji waje
Farhia Middle, anaflow nzuri,lafudhi nzuri,anajua sana kunata na biti,haendagi off key,tone yake nzuri,anajua sana kutumia gastures japo kwa kuibia sana,mwonekano pia unambeba,halafu a naongea sauti ya kwanza nzito (wanakwaya watanielewa),mistakes ni chache sana asomapo,na yy binafsi ni mzuri kweli kweli
 
Back
Top Bottom