frema120 JF-Expert Member Jan 1, 2012 5,099 1,338 May 14, 2015 #1 Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
The Don JF-Expert Member Dec 2, 2011 3,499 1,163 May 14, 2015 #4 mie nauza maji ya kusafishia dollar chafu
Bahati furaha JF-Expert Member Jul 11, 2012 3,030 1,384 May 14, 2015 #5 frema120 said: Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii. Click to expand... Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela?
frema120 said: Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii. Click to expand... Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela?
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 May 14, 2015 #6 Upeleke wapi hizo mbofumbofu? Acha Sinema bwana....
frema120 JF-Expert Member Jan 1, 2012 5,099 1,338 May 14, 2015 Thread starter #8 Mr Eric. said: Kwa Tanzania sheria zinaruhusu. Click to expand... Sheria hipi mkuu?
frema120 JF-Expert Member Jan 1, 2012 5,099 1,338 May 14, 2015 Thread starter #9 Bahati furaha said: Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela? Click to expand... Bid and ask ya huko, haiendani kabisa na hapa mkuu.
Bahati furaha said: Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela? Click to expand... Bid and ask ya huko, haiendani kabisa na hapa mkuu.