Nanunua Hela na Dollar mbovu

frema120

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
5,099
1,338
Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa.

Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
 
Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa.

Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.

Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela?
 
Back
Top Bottom