Nani....?

4.na wale wanaojifanya kujua kila kitu pia wananiboa

Listen Rosie,

As you know, there are known knowns. There are things we know we know.
We also know that there are known unknowns.

That is to say we know there are some things we do not know.
But there are also unknown unknowns, the ones we don't know we don't know.

So what do you know?
 
haha !ha!
umenichekesha wew jaman...tuazime iyo yako basi..mwanaume kuwa mchoyo wala ahainogi...
mwanaume wewe kiswahili lugha ya taifa sasa unavyojitia kimbelembele km matiti ya isha mashauzi wala hainog...mwaga kishwahil apo kati twende sawa...usichezee moto utakuuunguzaaaaaaaaaaaa....!!!!!!

Taratiiibu dadaa usije ukanawishwa mafuta ya nazi bure.
 
Ina maana umeona nnapokupenda?!Ngoja nikutafutie lenzi ya pili ya hako kamiwani kako!

Hehehehe..... unataka nianze kuzungumzia mambo ya mila na tamaduni zetu?.............. sitaki kukuboa nikuharibie wikiendi yako bana.

Ngoja niende mtaa wa pili kule nikatakase macho.........shhhhhhhhiiiiiiiiiiii usimwambie mtu, sawa eh?
 
Hehehehe..... unataka nianze kuzungumzia mambo ya mila na tamaduni zetu?.............. sitaki kukuboa nikuharibie wikiendi yako bana.

Ngoja niende mtaa wa pili kule nikatakase macho.........shhhhhhhhiiiiiiiiiiii usimwambie mtu, sawa eh?

I won‘t tell...ila naona aibu mpaka natype huku macho nimefumba!!!
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom