Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,976
- 95,289
babu kupenda mafagio mweeeeeee!!!!!!!
Hivi weye hupendi posts za RR?........Ntakusemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
babu kupenda mafagio mweeeeeee!!!!!!!
4.na wale wanaojifanya kujua kila kitu pia wananiboa
Kiingereza kwa tusiokijua kinatusumbua mno jamani NN weka kisw basi
haha !ha!
umenichekesha wew jaman...tuazime iyo yako basi..mwanaume kuwa mchoyo wala ahainogi...
mwanaume wewe kiswahili lugha ya taifa sasa unavyojitia kimbelembele km matiti ya isha mashauzi wala hainog...mwaga kishwahil apo kati twende sawa...usichezee moto utakuuunguzaaaaaaaaaaaa....!!!!!!
I can do without....
Asipoandika mtajuaje anajua?!
Ina maana umeona nnapokupenda?!Ngoja nikutafutie lenzi ya pili ya hako kamiwani kako!
Oh wewe habari yako? Na wewe hunipendi?
Hivi weye hupendi posts za RR?........Ntakusemea.
Mii penda wewe sana tu (Love you) ila kiingilishi tu ndo huniacha nakuwa sijaelewa uanchosema wakati na hamu ya kuelewa
Taratiiibu dadaa usije unakawishwa mafuta ya nazi bure.
Hapo pekundu utata kidogo teh teh teh
What‘s the definition of whining in that dictionary uchwara of yours?!Maana naona umekimbia mada unahangaika na lugha za watu!!
Hehehehe..... unataka nianze kuzungumzia mambo ya mila na tamaduni zetu?.............. sitaki kukuboa nikuharibie wikiendi yako bana.
Ngoja niende mtaa wa pili kule nikatakase macho.........shhhhhhhhiiiiiiiiiiii usimwambie mtu, sawa eh?
Nami napenda posts zako, haya tangulia gesti.