1. King (Mzee wa dogodogo)
2. Wa kushoto kwake (Joti)
3. Mlevi wa mataputapu (Masele)
4. Mwanawane (Mhubiri)
5. Mgonjwa wa kiharusi aliekodoa macho kaa mjusi aliebanwa na mlango
Kingwendu. Ulishawahi kumuona kwenye tangazo la SIMTANK inayodondoka maporomoko ya Victoria? Huwa nakaribbia kuzimia.Sema tu vile hana kikundi chenye jina, ila huyo jamaa ni balaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.