The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
hivi mwanaume ukijikuta una wanawake wawili na lazima uchague mmoja
na umuache mwingine utafanyaje ikiwa.....
wanawake hao wana sifa tofauti kama ifuatavyo....
mwanamke wa kwanza tumuite angel.....
yeye sifa yake ni kuwa ni mzuri saaana,popote unapoongozana nae
unapata sifa na attention ya kipekee,ni mzuri kwa sura na umbo
na tabia pia,,,,,,
anapendwa popote anapokwenda,ndugu marafii wanampenda
mwanamke wa pili tumuite asha,,,,yeye ni mzuri wa kawaida
lakini ni mtamu kupita maelezo....yaani mwili wake unapokuwa
nae kitandani ni kama unaenda peponi, ni full haluwa,yaani hakuna maelezo
ingawa anaonekana wa kawaida kwa nje,
sasa swali ni hili mwanamke mzuri sana na mwanamke mtamu sana
yupi zaidi????ikibidi uchague mmoja.uchague yupi????
na umuache mwingine utafanyaje ikiwa.....
wanawake hao wana sifa tofauti kama ifuatavyo....
mwanamke wa kwanza tumuite angel.....
yeye sifa yake ni kuwa ni mzuri saaana,popote unapoongozana nae
unapata sifa na attention ya kipekee,ni mzuri kwa sura na umbo
na tabia pia,,,,,,
anapendwa popote anapokwenda,ndugu marafii wanampenda
mwanamke wa pili tumuite asha,,,,yeye ni mzuri wa kawaida
lakini ni mtamu kupita maelezo....yaani mwili wake unapokuwa
nae kitandani ni kama unaenda peponi, ni full haluwa,yaani hakuna maelezo
ingawa anaonekana wa kawaida kwa nje,
sasa swali ni hili mwanamke mzuri sana na mwanamke mtamu sana
yupi zaidi????ikibidi uchague mmoja.uchague yupi????