demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana suala la hii kampeni ya Nani Zaidi?
Kwa uwiano uliopo kati ya mashabiki wa Simba na Yanga, inawezekana vipi wapiga kura wa Simba wawe wengi mara mbili zaidi kuliko wale wa watani zao Yanga?
Hata ukizingatia tu uwezo na msukumo wa uchangiaji kutoka kwenye kampeni yao ya Ujenzi wa uwanja...Huwezi kuona uhalisia baina ya kapeni hizi mbili.
(kumbuka kuwa Simba walitumia miezi 6 kufikisha milioni 60)
Tena kwa kutumia michango ya mashabiki. Tena pasi na kuwekewa kuwango zuizi cha uchangiaji!
Sasa wamewezaje kufika milioni 100 ndani ya mwezi mmoja...?
Ukitumia ubongo wako mpenzi msomajinutagundua kuwa kampeni ya uchangiaji ilivamia na FUMBATE ya kuhamisha pesa ya klabu yao kwa lengo la kuwaaminisha wanachama na mashabiki wao kuwa wako vizuri, wakijua wazi kuwa mashabiki wao wataamini na hawatoweza hata kujiuliza maswali magumu.
Leo katika mkutano wa waandishi wa Habari wa klabu ndipo nikapata kuthibitisha shaka yangu kuwa niko sahihi 100%
Idara ya Klabu ya Yanga iliweka wazi mbinu iliyoyumika na simba ili kuuaminisha watu wao kuwa hawawezi kushindwa na Yanga kwenye kila kitu msimu huu.
Walichokifanya ni kutoe pesa mfuko wa kushoto na kupeleka kulia ili kuonyesha kuwa wako safi.
Hongereni Simba SC lakini msisahau kusajili kwa kuwa dirisha la CAF limesalia siku chache kutoka hii leo.
View attachment 2259739
Kwa uwiano uliopo kati ya mashabiki wa Simba na Yanga, inawezekana vipi wapiga kura wa Simba wawe wengi mara mbili zaidi kuliko wale wa watani zao Yanga?
Hata ukizingatia tu uwezo na msukumo wa uchangiaji kutoka kwenye kampeni yao ya Ujenzi wa uwanja...Huwezi kuona uhalisia baina ya kapeni hizi mbili.
(kumbuka kuwa Simba walitumia miezi 6 kufikisha milioni 60)
Tena kwa kutumia michango ya mashabiki. Tena pasi na kuwekewa kuwango zuizi cha uchangiaji!
Sasa wamewezaje kufika milioni 100 ndani ya mwezi mmoja...?
Ukitumia ubongo wako mpenzi msomajinutagundua kuwa kampeni ya uchangiaji ilivamia na FUMBATE ya kuhamisha pesa ya klabu yao kwa lengo la kuwaaminisha wanachama na mashabiki wao kuwa wako vizuri, wakijua wazi kuwa mashabiki wao wataamini na hawatoweza hata kujiuliza maswali magumu.
Leo katika mkutano wa waandishi wa Habari wa klabu ndipo nikapata kuthibitisha shaka yangu kuwa niko sahihi 100%
Idara ya Klabu ya Yanga iliweka wazi mbinu iliyoyumika na simba ili kuuaminisha watu wao kuwa hawawezi kushindwa na Yanga kwenye kila kitu msimu huu.
Walichokifanya ni kutoe pesa mfuko wa kushoto na kupeleka kulia ili kuonyesha kuwa wako safi.
Hongereni Simba SC lakini msisahau kusajili kwa kuwa dirisha la CAF limesalia siku chache kutoka hii leo.
View attachment 2259739