faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
Wadau mnaotambua kwa undani katiba ya nchi na pia mnaoifahamu demokrasia ya vyama vingi naomba mnipe elimu kidogo.................nimefatilia kampeni za uchaguzi kwa makini sana haswa vyama vya upinzani...nimeona lipumba akifika kwenye mkoa fulani anaanza kwanza kuripoti ofisi za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya husika au mkoa husika ili apate baraka za ya serikali iliyopo madarakani......kisha ndio anaendelea na kampeni zake....lakini sijawahi kumwona silaa akiripoti ofisi za serikali.........
JE NI NANI ANAFATA TARATIBU SAHIHI?
JE NI NANI ANAFATA TARATIBU SAHIHI?