Chengshan
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 248
- 615
Watuletee na huku mikoani tubandike kwenye daladala
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
MkuuWewe na wapuuzi wenzako mnampotosha huyo mnayemuita mama yenu, halafu unajifanya kuhoji…. huogopi laana kupambana na mama’ko?
AbasiNchi ya hovyo Sana hii, usikute ni waziri wa fweza
Nikiingia nitawanyoosha Sana!!nchi imeshaanza kupinda hii!!
Mama ana uchu wa madaraka uliopitilizaWakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Serikali, vinginevyo wangeamriwa waziondoe.Wakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Wewe hujiulizi kwanini VOTE ya Ikulu huwa haikaguliwi na wakati ni pesa za umma?Wakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Shaka huyo na propaganda zakeWakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Aiseh Basi sawa!!Sahivi nchi ipo chini ya Rostam Azizi
Nani anawapa ?Hutaki watu wapewe pesa