Nani yupo 'nyuma' ya mashitaka dhidi ya Makonda?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,497
26,986
Ni hoja ya swali.

Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.

Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kiaina [kimtindo].

Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.

Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.

Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.

Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!

Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.


Ncha Kali.
 
Ni hoja ya swali.

Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.

Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kishkaji.

Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.

Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.

Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.

Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!

Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.


Ncha Kali.
Screenshot_20211124-132820_Lite.jpg
 
Ni hoja ya swali.

Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.

Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kishkaji.

Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.

Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.

Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.

Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!

Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.


Ncha Kali.
Kafunguliwa kesi?
 
Ni hoja ya swali.

Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.

Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kishkaji.

Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.

Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.

Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.

Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!

Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.


Ncha Kali.
Mama ni mpitaji 2025 atokuwepo so bure tu hata kama atamkingia,ajae atacheza nae.
Mtama alitolewa bastola na mlinzi wa bashite aitwae sniper 007 instagram au kwa jina halisi ni Henry Kisanduku akiwa pia mmoja wa kikosi cha wasiojulikana akiwa mtiifu kwa bashite na ndie aliyeshiriki kumteka Roma Mkatoliki kwa amri ya bashite na kumtupa ununio baada ya mateso na kipigo kikali zama zile Mungu alipotuacha.
Hawa Wana hatia za damu za watz.

1602725_Screenshot_20171005-170102.jpg


1717312_IMG_2282.jpg


1717161_tapatalk_1507210461857.jpeg


1717447_20180328_093628.png
 
Ni hoja ya swali.

Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.

Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kishkaji.

Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.

Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.

Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.

Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!

Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.


Ncha Kali.
Ndugu Kali kwani umetakiwa kuwasilisha machungu take ama umejitolea tuu, kwani siluelewi🤔
.
 
Back
Top Bottom