HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,363
- 94,543
Mafanikio ya Simba yatambeba, yeye akomae na TBS kuchoma fekiJamaa kajilipua,hii biashara ya jezi kibongobongo ina changamoto kibao
Mafanikio ya Simba yatambeba, yeye akomae na TBS kuchoma fekiJamaa kajilipua,hii biashara ya jezi kibongobongo ina changamoto kibao
kumbe jibu analoKama ulikuwa na jibu uzi umeleta wa nin hapa na kwanini unatumia akili zako ndogo kujadili akili kubwa huoni kama unajitafutia magonjwa ya moyo bure ahahahah
Asha baraka au babra?Kwenye mafanikio ya kila mwanaume nyuma kuna mwanamke shupavu...!
hakika mkuu. pale pesa ipo sana,akiweka mkakati mzuri wa kupambana na vishoka itapiga hela sana. kwenye upande wa marketing yupo vizuri sana. Kizuri zaidi anapanua wigo wa bidhaa.Mafanikio ya Simba yatambeba, yeye akomae na TBS kuchoma feki
Sometime hakunaga namna zaidi ya kujilipua mkuuJamaa kajilipua,hii biashara ya jezi kibongobongo ina changamoto kibao
Kumbe unawajuaHakuna mfanyabiashara anayetaka aweke pesa yake ipotee. Hiyo 2B ni kiini macho, na huyo Fred katumwa na wenye timu
Sasa kwa hesabu zako hizo unazoona hazina tija ni nan amtumie kwenye biashara isiyo na faida?Sio fikra potovu, swali la msingi nani anamtumia Fred? Kwa biashara ya jezi hapa bongo bado hakuna atakayeweka 2B kwenye uzalishaji wa jezi ilhali mashabiki wenyewe wanapenda kununua vitu feki.
Fred ametumika kama chambo, ila dili lina mwenyewe na halifiki hiyo thamani.
Nahisi ni Mradi wa JPMHatukatai Fred hela anayo lakini kutoa bilioni mbili kisa kutengeneza jezi hapana haiingii akilini. Bila shaka kuna mtu yupo nyuma ya dili hili, ambaye ameamua kumtumia Fred ili isionekane kila tenda anashinda yeye!
Je, ni nani yupo nyuma ya dili hili?
We jamaa una akili fupi we kama huna hela unadhani watu wote hawana hela et?Sio fikra potovu, swali la msingi nani anamtumia Fred? Kwa biashara ya jezi hapa bongo bado hakuna atakayeweka 2B kwenye uzalishaji wa jezi ilhali mashabiki wenyewe wanapenda kununua vitu feki.
Fred ametumika kama chambo, ila dili lina mwenyewe na halifiki hiyo thamani.
Unajua mara ya kwanza kipindi nakusoma nikajua labda mtu mwenye akili amepost ili tupate undani wa hili dili la Fred, kumbe mwanautopolo mwenye wivu wa kumaskini, lazima wew ni miongoni wa wanyonge, wanoishi chini ya dola 1 kwa siku.Mashabiki wa Simba ni mambumbumbu - Aden Ismail Rage, Mwenyekiti Mstaafu wa Simba Sports
Hahaha😳😳😳Hata Babra mlianza kusema kahongwa timu
Tulihoji hapa, tukabezwaHatukatai Fred hela anayo lakini kutoa bilioni mbili kisa kutengeneza jezi hapana haiingii akilini. Bila shaka kuna mtu yupo nyuma ya dili hili, ambaye ameamua kumtumia Fred ili isionekane kila tenda anashinda yeye!
Je, ni nani yupo nyuma ya dili hili?
Mo SportsHatukatai Fred hela anayo lakini kutoa bilioni mbili kisa kutengeneza jezi hapana haiingii akilini. Bila shaka kuna mtu yupo nyuma ya dili hili, ambaye ameamua kumtumia Fred ili isionekane kila tenda anashinda yeye!
Je, ni nani yupo nyuma ya dili hili?