Nani yuko The Calabash mwenge hapa saivi??..!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,031
21,499
Wakuu,
Jioni njema. Ndauli? Wamisha khinehe, mwadila, mapembelo,aslam aleykum etc. I hooe wote tuko poa,
Kama kuna mkuu yeyote as we speaking he/she is currently here at the calabash kama yuko anapata kilaji,marumbusi au kuchek game ya arsenal vs stock, njoo hapa kaunta upate ofa ya kinywaji kutoka kwa donlucchese 'The McLaren Theorem guy'
 
Duhhhh nahisi kuna watu washakodi bodaboda wanakuja. Baada ya 30min utakimbia tu
 
Wakuu,
Jioni njema. Ndauli? Wamisha khinehe, mwadila, mapembelo,aslam aleykum etc. I hooe wote tuko poa,
Kama kuna mkuu yeyote as we speaking he/she is currently here at the calabash kama yuko anapata kilaji,marumbusi au kuchek game ya arsenal vs stock, njoo hapa kaunta upate ofa ya kinywaji kutoka kwa donlucchese 'The McLaren Theorem guy'
Nipo nyuma yako mkuu
 
Calabash aiseeee hiyo Bar ni shidaaaa haichuji tu weekend ndo Balaa mie nakuja Mida ya SAA tatu.Jana palifurika kama kawaida
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom