Nani yuko nyuma ya hujuma hii?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,606
696,708
IMG_20170611_135953.jpg
huu ni mvinyo wa Penasol, yani hapo ndio umetoka kufunguliwa kizibo lakini kama picha inavyojionesha ndani kulitakiwa kuwe na SEAL! lakini haipo imeshatobolewa
Kuna biashara kubwa inayoendelea ya kuuza mabox tupu ya huu mvinyo kisha watu wanajijazia watakavyo! Kuna ladha za penasol zaidi ya tano, kuanzia Dodoma wine mpaka Zulu ya msouth
Wanywaji wanaumizwa kwenye hili kuanzia bei as an imported drink mpaka afya.....
Ni nani yuko nyuma ya hujuma hii?
IMG_20170611_135942.jpg
IMG_20170603_163118.jpg
 
Kweli nipo nyuma katika kujamiiana na walevi wa kishua, hilo boksi nilikua nikiona dukani hua najua ni juisi kumbe mvinyo?
 
Niliwahi kununua altar wine fake pale manzese darajani, ilibidi niwarudishie wanipe hela yangu. Ladha ya hovyo hata vizibo viliwashinda kurudisha wakavichonga ila nembo na seal walipatia.
Mmh mpaka wanapiga!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom