Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,377
Heshima kwenu wanajamvi!
Samahani naomba kuuliza kwa lengo la kujua tu. Baada ya kutumbuliwa Kangi Lugola aliteuliwa Simbachawene kujaza nafasi yake.
Juzi Mh Rais alipokuwa anaapisha viongozi mbalimbali jijini Dodoma nilisikia kama Simbachawene aliapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya.
Ni kweli au masikio yangu yalinidanganya ? Kama ni kweli, alishatenguliwa? Nani Waziri wa Wizara hii kwa sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani naomba kuuliza kwa lengo la kujua tu. Baada ya kutumbuliwa Kangi Lugola aliteuliwa Simbachawene kujaza nafasi yake.
Juzi Mh Rais alipokuwa anaapisha viongozi mbalimbali jijini Dodoma nilisikia kama Simbachawene aliapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya.
Ni kweli au masikio yangu yalinidanganya ? Kama ni kweli, alishatenguliwa? Nani Waziri wa Wizara hii kwa sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app