KimChi
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 122
- 159
Habari wana JF
Mimib ni Accounts graduate ambaye nimetafuta ajira(formal) bila mafanikio kwa miaka kadhaa na sioni matumaini yoyote. Hivyo naomba msaada wenu kwa yafuatayo;-
Kama unajua sehemu yoyote, kampuni, kiwanda, mradi, biashara ndogo binafsi nk. ambapo naweza kupata kazi, kibarua au shughuli yoyote ya kufanya naomba unijulishe tafadhali. Iwe wewe mwenyewe, unamjua mtu au mtu anayemjua mtu anayeweza kunisaidia kwenye hili naomba uniunganishe nae.
NB: Nahitaji shughuli yoyote ambayo kijana anaweza kuifanya bila kuzingatia taaluma tajwa japo nitapokea offer ya accounting job itakapopatikana.
Naomba kama kuna mapendekezo ya maeneo ambayo unaona kuna uwezekano wa kupata kibarua jijini mwanza naomba mnijulishe ili nikaulizie mwenyewe pia.
Ninahitaji sana ajira/kibarua wadau hivyo msaada wenu kwenye vitu nilivyoomba ni muhimu. Wakosoaji wa aina yoyote kwenye hili hawakaribishwi kuchangia ila ushauri na mapendekezo yanakaribishwa.
Asanteni
Mimib ni Accounts graduate ambaye nimetafuta ajira(formal) bila mafanikio kwa miaka kadhaa na sioni matumaini yoyote. Hivyo naomba msaada wenu kwa yafuatayo;-
Kama unajua sehemu yoyote, kampuni, kiwanda, mradi, biashara ndogo binafsi nk. ambapo naweza kupata kazi, kibarua au shughuli yoyote ya kufanya naomba unijulishe tafadhali. Iwe wewe mwenyewe, unamjua mtu au mtu anayemjua mtu anayeweza kunisaidia kwenye hili naomba uniunganishe nae.
NB: Nahitaji shughuli yoyote ambayo kijana anaweza kuifanya bila kuzingatia taaluma tajwa japo nitapokea offer ya accounting job itakapopatikana.
Naomba kama kuna mapendekezo ya maeneo ambayo unaona kuna uwezekano wa kupata kibarua jijini mwanza naomba mnijulishe ili nikaulizie mwenyewe pia.
Ninahitaji sana ajira/kibarua wadau hivyo msaada wenu kwenye vitu nilivyoomba ni muhimu. Wakosoaji wa aina yoyote kwenye hili hawakaribishwi kuchangia ila ushauri na mapendekezo yanakaribishwa.
Asanteni