Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,469
- 45,999
Tangua kupata uhuru wake mwaka 1961 nchi yetu imekuwa na mamia ya wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurgenzi wa Halmashauri.
Kati ya wote waliowahi kushika hizo nafasi na kupita katika ofis hizo kuna waliowahi kuwa waovu zaidi ya hawa
1.Paul Makonda katika ngazi ya ukuu wa mkoa
2.Lengai Ole Sabaya katika ngazi ya ukuu wa wilaya
3.Lusubilo Mwakabibi katika ngazi ya uDED?
Kati ya wote waliowahi kushika hizo nafasi na kupita katika ofis hizo kuna waliowahi kuwa waovu zaidi ya hawa
1.Paul Makonda katika ngazi ya ukuu wa mkoa
2.Lengai Ole Sabaya katika ngazi ya ukuu wa wilaya
3.Lusubilo Mwakabibi katika ngazi ya uDED?