Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Mh. Pinda kaonesha njia ya mahitaji ya katiba mpya. Je? Nani waunde jopo la kuangalia mapungufu ya katiba? Na waje na solutn ambayo wa Tz wote wataiafiki?
Mh. Pinda kaonesha njia ya mahitaji ya katiba mpya. Je? Nani waunde jopo la kuangalia mapungufu ya katiba? Na waje na solutn ambayo wa Tz wote wataiafiki?
Mh. Pinda kaonesha njia ya mahitaji ya katiba mpya. Je? Nani waunde jopo la kuangalia mapungufu ya katiba? Na waje na solutn ambayo wa Tz wote wataiafiki?
Usiwasahau Mafisadi nao ni Watanzania ati!Askofu pengo. Askof peter kitula, shehe ponda, shehe basalee,mch gwajima, nabii mwingira, na wazake
Waelewa na wajuzi wa sheria kutoka
- Wabunge kutoka vyama vyote vya siasa vilivyo na uwakilishi bungeni
- Vyama vyote vya siasa
- Mashirika ya dini
- Taasisi muhimu za sheria,
- mawakili na wanashria
- Taasisi za haki za binadamu
- Majaji wastaafu nk
tusianze kuvua nguo kabla ya kufikia mto, tutaonekana wehu kutembea uchi kabla ya kuufikia huo mto. Tuongeze spidi ya kufika mtoni kwanza, tukifika ndio tuanze kuvua nguo ili togelee na kuuvuka.
Mh. Pinda kaonesha njia ya mahitaji ya katiba mpya. Je? Nani waunde jopo la kuangalia mapungufu ya katiba? Na waje na solutn ambayo wa Tz wote wataiafiki?
Wawakilishi watakaochaguliwa na vyama vyao labda watano toka kila chama (CCM, CHADEMA na CUF) Wanasheria mbali mbali hasa wale waliobobea katika mambo ya katiba/sheria mbali mbali. Timu ya watu kama 30 hata mpaka 50 ambayo itapewa majukumu ya kupita Tanzania nzima kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu nini kiwemo katika katiba mpya na kisha kuyafanyia kazi na kuja na katiba mpya. Zoezi hili linahitaji budget yake kubwa tu na haitakuwa vibaya kwa budget ijayo likatengwa fungu maalum la kupata katiba mpya, Wapewe muda wa miaka 2 na nusu (kama wataanza July 2011 basi December 2013 watakuwa wamemaliza kazi yao na hivyo kuwa na miaka miwili ya kuandaa uchaguzi kwa kutumia katiba mpya na tume ya uchaguzi ambayo itakuwa huru na siyo hii ambayo ni kitengo cha CCM) ili waweze kuja na katiba mpya ambayo itatumika katika uchaguzi ujao wa 2015. Pia kwa maoni yangu tunaweza kuchagua katiba tatu toka nchi nyingine kwa mfano Kenya n.k. kuzipitia na kuona kama kuna mazuri ambayo yanastahili kuwemo kwenye katiba yetu au kuyafanyia modification ya hapa na pale ali mradi tu yanaongeza demokrasi katika nchi yetu.
tusianze kuvua nguo kabla ya kufikia mto, tutaonekana wehu kutembea uchi kabla ya kuufikia huo mto. Tuongeze spidi ya kufika mtoni kwanza, tukifika ndio tuanze kuvua nguo ili togelee na kuuvuka.