Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
hawana wasiwasi wowote kuhusu ubaba wa mume, tatizo ni kuwa mama anaona hakuna ulazima wa baba kuwa wa kwanza kupewa abari hata kama ndiye mzazi mwenzake!
Chapa makofi azinduke kwanza huenda kapagawa.