PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Tumeshuhudia mbio, misemo na hararati za kupunguza nguvu LOWASSA bila mafanikio.
Wakati karibu robo ya wana CCM wakisema hawamhitaji, robo tatu wanamkumbatia na kusema huyu ndiyetunamhitaji,wakati vyama vya siasa na asasi za kiraia pamoja na baadhi ya makanisa wakimpìnga na kidiriki kurudisha hata fedha za mmoja wa washirika wake(ROSTAM), huku baadhi ya makanisa na misikiti wamaemua kurudia mataishi yao kwa kuwageuka wananchi na waumini wao kwa kuwasalita na sasa wanajinafasi na fedha haram na wengine kuduriki kuzisifia na kuzitakasa bila kujali hali za waumani wao.
Wakati TUKUKURU wakijisifù kuwa wameweza kuwadhibiti watoa rushwa ARUMERU na kushangilia kama mazuzu,huku LOWASA anaamuwa kuwadhibitishia kuwa anaweza kwa kuwahonga wana CCM haohao na hatimae mtuwake amepita tena wanasema kwa kishindo,sasa wananchi tumebaki kushangaa bili kujia nani anayeweza kutusaidia maana watetulio wategemea wametusaliti na sasa wanakula na kulala pamoja na wabaya wetu.
Swali la kujiuliza ni je? Hizo fedha anazowahonga makanisa, misikiti, baadhi ya vyombo vya habari na wana ccm wenzake,anazitoa waipi?kama anapewa na marafikizake je?ataliaje fadhila hapo badae?
WATANZANIA SASA YATUPASA KUZINDUKA NA KWA MAKINI KULIKO WAKATI WOWOTE VITAHIVI TUMEACHIWA WENYEWE NA TUSITEGEMEE MSAADA TENA KWANI WOTE SASAHIVI NI WASALITI NA HAWANA HURUMA NA SISI.
Wakati karibu robo ya wana CCM wakisema hawamhitaji, robo tatu wanamkumbatia na kusema huyu ndiyetunamhitaji,wakati vyama vya siasa na asasi za kiraia pamoja na baadhi ya makanisa wakimpìnga na kidiriki kurudisha hata fedha za mmoja wa washirika wake(ROSTAM), huku baadhi ya makanisa na misikiti wamaemua kurudia mataishi yao kwa kuwageuka wananchi na waumini wao kwa kuwasalita na sasa wanajinafasi na fedha haram na wengine kuduriki kuzisifia na kuzitakasa bila kujali hali za waumani wao.
Wakati TUKUKURU wakijisifù kuwa wameweza kuwadhibiti watoa rushwa ARUMERU na kushangilia kama mazuzu,huku LOWASA anaamuwa kuwadhibitishia kuwa anaweza kwa kuwahonga wana CCM haohao na hatimae mtuwake amepita tena wanasema kwa kishindo,sasa wananchi tumebaki kushangaa bili kujia nani anayeweza kutusaidia maana watetulio wategemea wametusaliti na sasa wanakula na kulala pamoja na wabaya wetu.
Swali la kujiuliza ni je? Hizo fedha anazowahonga makanisa, misikiti, baadhi ya vyombo vya habari na wana ccm wenzake,anazitoa waipi?kama anapewa na marafikizake je?ataliaje fadhila hapo badae?
WATANZANIA SASA YATUPASA KUZINDUKA NA KWA MAKINI KULIKO WAKATI WOWOTE VITAHIVI TUMEACHIWA WENYEWE NA TUSITEGEMEE MSAADA TENA KWANI WOTE SASAHIVI NI WASALITI NA HAWANA HURUMA NA SISI.