Nani wa kumfunga Lowassa kengele?

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454
Tumeshuhudia mbio, misemo na hararati za kupunguza nguvu LOWASSA bila mafanikio.

Wakati karibu robo ya wana CCM wakisema hawamhitaji, robo tatu wanamkumbatia na kusema huyu ndiyetunamhitaji,wakati vyama vya siasa na asasi za kiraia pamoja na baadhi ya makanisa wakimpìnga na kidiriki kurudisha hata fedha za mmoja wa washirika wake(ROSTAM), huku baadhi ya makanisa na misikiti wamaemua kurudia mataishi yao kwa kuwageuka wananchi na waumini wao kwa kuwasalita na sasa wanajinafasi na fedha haram na wengine kuduriki kuzisifia na kuzitakasa bila kujali hali za waumani wao.

Wakati TUKUKURU wakijisifù kuwa wameweza kuwadhibiti watoa rushwa ARUMERU na kushangilia kama mazuzu,huku LOWASA anaamuwa kuwadhibitishia kuwa anaweza kwa kuwahonga wana CCM haohao na hatimae mtuwake amepita tena wanasema kwa kishindo,sasa wananchi tumebaki kushangaa bili kujia nani anayeweza kutusaidia maana watetulio wategemea wametusaliti na sasa wanakula na kulala pamoja na wabaya wetu.

Swali la kujiuliza ni je? Hizo fedha anazowahonga makanisa, misikiti, baadhi ya vyombo vya habari na wana ccm wenzake,anazitoa waipi?kama anapewa na marafikizake je?ataliaje fadhila hapo badae?

WATANZANIA SASA YATUPASA KUZINDUKA NA KWA MAKINI KULIKO WAKATI WOWOTE VITAHIVI TUMEACHIWA WENYEWE NA TUSITEGEMEE MSAADA TENA KWANI WOTE SASAHIVI NI WASALITI NA HAWANA HURUMA NA SISI.
 
Mkuu hata mimi nilishangaa baada ya kupitishwa Sioi akapingwa eti siyo raia!!! Zengwe hilo halijaishia hapo bali kuwakamata watu wanaosadikwa wafuasi wa Lowasa kwa tuhuma za rushwa!!!
PCCB wasioangalia wataangukia pua katika suala hili la Lowasa kwa kufanya kazi kwa maelekezo badala ya weledi.
Mtoa rushwa amesema amepewa na mwanae Lowasa Fredy sasa kwa nini asikamatwe badala yake unasema unaendelea na uchunguzi feki sijui mpaka lini!

Kweli naanza kuamini hakuna wa kumfunga kengele fisadi Lowasa isipokuwa wananchi na tena vijana.
 
Wakati wengine wameona leo wewe umeona keshokutwa mkuu vita ni ya kwetu hatuna msaada tena ni budi kupigana mpaka tone la mwisho la damu yetu aluta continua
 
Lowassa ana laana kubwa mwacheni iko siku ataibika kuliko siku ile ya richmond.
 
ishu hapa ni ujinga wa wa tz. Hawana uwezo wa kupambanua na kufikiri na kuamua bila shinikizo la rushwa na maneno matamu ya uongo na matamu toka kwa wanasiasa na wapambe wao. Yaani watz wengi wana akili za kushikiwa.
Nasema hivi kwa sababu sielewi kwanini watu wanawasiwasi wa fulani kugombea, hata kama ni jambazi na hajatiwa hatiani anahaki ya kuchagua na kuomba kuchaguliwa. Sasa kukubaliwa na wapiga kura ni swala lingine.

Ujinga wa watz juu ya kuchagua na kuamua jambo sahihi ndio tatizo!
Tupambane na hilo tatizo kwanza halafu haya yote ya kina EL,RA,CCM,CDM,CUF nk hayatasumbua kwani wananch wataweza wenyewe kuchambua pumba na mchele.

Vinginevyo nadiriki kusema haya yote kwa sasa ni ubatili mtupu.

Tatizo ni watz na uwezo duni wa kufikri juu ya mstakabali wa maisha yao na vizazi vijavyo. Wanaangalia leo, hata kesho tu kwao ni mbali!

Tutoke hapo jamani, tunatumia rasilimali nyingi kuwapiga vita watu waili watatu kwanini? Si huu nao ni ujinga tu?
Hizo rasilimali laiti zingetumika kuelimisha watu kuwa na fikra pevu na endelevu, hao akina EL na wengine wangeachwa halafu wanachi walio na fikra pevu,endelevu na positive wangeamua wenyewe kwenye uchaguzi. Na hapa nikisema wananchi ni pamoja na wajumbe wa kamati mbalimbali za vyama vya siasa na kamati zenyewe.

Nawakilisha.
 
Dr Mwakyembe ila ndo hivyo tena anamung'unyika kidogo kidogo...watu wabaya!
 
ishu hapa ni ujinga wa wa tz. Hawana uwezo wa kupambanua na kufikiri na kuamua bila shinikizo la rushwa na maneno matamu ya uongo na matamu toka kwa wanasiasa na wapambe wao. Yaani watz wengi wana akili za kushikiwa.
Nasema hivi kwa sababu sielewi kwanini watu wanawasiwasi wa fulani kugombea, hata kama ni jambazi na hajatiwa hatiani anahaki ya kuchagua na kuomba kuchaguliwa. Sasa kukubaliwa na wapiga kura ni swala lingine.

Ujinga wa watz juu ya kuchagua na kuamua jambo sahihi ndio tatizo!
Tupambane na hilo tatizo kwanza halafu haya yote ya kina EL,RA,CCM,CDM,CUF nk hayatasumbua kwani wananch wataweza wenyewe kuchambua pumba na mchele.

Vinginevyo nadiriki kusema haya yote kwa sasa ni ubatili mtupu.

Tatizo ni watz na uwezo duni wa kufikri juu ya mstakabali wa maisha yao na vizazi vijavyo. Wanaangalia leo, hata kesho tu kwao ni mbali!

Tutoke hapo jamani, tunatumia rasilimali nyingi kuwapiga vita watu waili watatu kwanini? Si huu nao ni ujinga tu?
Hizo rasilimali laiti zingetumika kuelimisha watu kuwa na fikra pevu na endelevu, hao akina EL na wengine wangeachwa halafu wanachi walio na fikra pevu,endelevu na positive wangeamua wenyewe kwenye uchaguzi. Na hapa nikisema wananchi ni pamoja na wajumbe wa kamati mbalimbali za vyama vya siasa na kamati zenyewe.

Nawakilisha.


Mkuu, na hili ni tatizo kubwa. utakuta mtu alihongwa kofia na fulana ili ampigie kura mgombea fulani, ukija uchaguzi mwingine anahongwa tena rushwa ile ile ya kofia na fulana au kanga halafu anampigia huyo mtoa rushwa kura tena....na inakuwa hivyo miaka na miaka. uwezo wa watz wengi wa kufikiri ni mdogo sana...na ni kila sehemu, na katika kila sekta.
 
Mkuu mimi naamini kabisa hii kashfa ya richmond ni zaidi ya lowasa peke yake,nina amini kabisa Lowasa ametolewa kafara tu ila kuna wahusika au muhusika mwingine wa level ya Lowassa au wa zaidi ya level ya Lowassa!sitaki kumtetea Lowassa kwa sababu ninajua Lowassa ni mchafu hata kabla ya richmond ila nataka tuliangalie ili la richmond kwa jicho la tatu!nikirudi kwy point ni kua hakuna wa kumfunga lowasa kengere kwa kua wote wanaotakiwa kumfunga lowassa kengele either hawana meno,wamezibwa midomo na wenye meno na wenye meno nao hawawezi kumfunga kengele kwa kua nao ni wachafu!wakuamua na kumfunga huyu mtu kengele ni wananchi wenyewe,ingawa kwa watanzania ni sawa na kuhamisha mlima kilimanjaro uje Morogoro!kwa kweli uwa namkumbuka sana mwalimu julius kambarage nyerere mzalendo wa kweli ambae hakua na mzaha aonapo Tanzania kama taifa linachezewa
 
ni kweli kaka lakini nani wakteleza kweli?ikiwe yeye mwenyewe hataki kuongoea?au anakufa na tai shingona.

Mkuu mimi naamini kabisa hii kashfa ya richmond ni zaidi ya lowasa peke yake,nina amini kabisa Lowasa ametolewa kafara tu ila kuna wahusika au muhusika mwingine wa level ya Lowassa au wa zaidi ya level ya Lowassa!sitaki kumtetea Lowassa kwa sababu ninajua Lowassa ni mchafu hata kabla ya richmond ila nataka tuliangalie ili la richmond kwa jicho la tatu!nikirudi kwy point ni kua hakuna wa kumfunga lowasa kengere kwa kua wote wanaotakiwa kumfunga lowassa kengele either hawana meno,wamezibw

Nafikiri kuna agenda ya siri ya watu wawili au kikundi fulani cha watu wachache,inawezekana kabisa kuna mchezo unachezwa ili kuwatia viini macho watanzania mwisho wa siku ndoto ya Lowassa na huyo mwenzake itakuja kutimia,ndio maana ameamua kua kimya na kuendelea kuwarubuni watanzania kwa kujisafisha japo mimi naona anajiogesha oil yeye na hawa viongozi wetu wa dini walioamua kumtumikia Mungu na pesa!hawezi fanya kosa akaja kusema kua mbona hata fulani au wa kina fulani wapo kwy wizi wa mchana wa richmond,hapo atakua amejiharibia yeye na ndoto yake ya kuliongoza taifa ili!
 
Mkuu mimi naamini kabisa hii kashfa ya richmond ni zaidi ya lowasa peke yake,nina amini kabisa Lowasa ametolewa kafara tu ila kuna wahusika au muhusika mwingine wa level ya Lowassa au wa zaidi ya level ya Lowassa!sitaki kumtetea Lowassa kwa sababu ninajua Lowassa ni mchafu hata kabla ya richmond ila nataka tuliangalie ili la richmond kwa jicho la tatu!nikirudi kwy point ni kua hakuna wa kumfunga lowasa kengere kwa kua wote wanaotakiwa kumfunga lowassa kengele either hawana meno,wamezibwa midomo na wenye meno na wenye meno nao hawawezi kumfunga kengele kwa kua nao ni wachafu!wakuamua na kumfunga huyu mtu kengele ni wananchi wenyewe,ingawa kwa watanzania ni sawa na kuhamisha mlima kilimanjaro uje Morogoro!kwa kweli uwa namkumbuka sana mwalimu julius kambarage nyerere mzalendo wa kweli ambae hakua na mzaha aonapo Tanzania kama taifa linachezewa

Nyerere alikuwa na nguvu kupita katiba! hivyo alipofariki kaacha katiba ambayo haina nguvu kumpita raisi wa Tanzania. unaposema Nyerere ni mzalendo wa kweli una maana gani? Mbona mwaka 1973 alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel halafu nchi yetu ilipoteza mamilion ya pesa ambazo zilikuwa zinatokana na utalii wa kiyahudi kuja tanzania, mauzo ya mbao Israel na mauzo ya mkonge? na alifanya hivyo si kwa sababu ya wananchi wa tanzania bali kwa sababu ya wananchi wa Misri!!
 
Tumeshuhudia mbio, misemo na hararati za kupunguza nguvu LOWASSA bila mafanikio.

Wakati karibu robo ya wana CCM wakisema hawamhitaji, robo tatu wanamkumbatia na kusema huyu ndiyetunamhitaji,wakati vyama vya siasa na asasi za kiraia pamoja na baadhi ya makanisa wakimpìnga na kidiriki kurudisha hata fedha za mmoja wa washirika wake(ROSTAM), huku baadhi ya makanisa na misikiti wamaemua kurudia mataishi yao kwa kuwageuka wananchi na waumini wao kwa kuwasalita na sasa wanajinafasi na fedha haram na wengine kuduriki kuzisifia na kuzitakasa bila kujali hali za waumani wao.

Wakati TUKUKURU wakijisifù kuwa wameweza kuwadhibiti watoa rushwa ARUMERU na kushangilia kama mazuzu,huku LOWASA anaamuwa kuwadhibitishia kuwa anaweza kwa kuwahonga wana CCM haohao na hatimae mtuwake amepita tena wanasema kwa kishindo,sasa wananchi tumebaki kushangaa bili kujia nani anayeweza kutusaidia maana watetulio wategemea wametusaliti na sasa wanakula na kulala pamoja na wabaya wetu.

Swali la kujiuliza ni je? Hizo fedha anazowahonga makanisa, misikiti, baadhi ya vyombo vya habari na wana ccm wenzake,anazitoa waipi?kama anapewa na marafikizake je?ataliaje fadhila hapo badae?

WATANZANIA SASA YATUPASA KUZINDUKA NA KWA MAKINI KULIKO WAKATI WOWOTE VITAHIVI TUMEACHIWA WENYEWE NA TUSITEGEMEE MSAADA TENA KWANI WOTE SASAHIVI NI WASALITI NA HAWANA HURUMA NA SISI.

Tunatarajia chadema ndio iifanye hiyo kazi maana hatujasikia ikimchana hadharani Lowassa kwa muda sasa na pia kumekua na taarifa chadema hasa viongozi wa juu wamekua na ukaribu unaotia mashaka na lowassa;je chadema wamewasaliti watz kwa kukumbatia mafisadi na si kuwapinga kama walivyojipambanua mwanzo na kujipatia umaarufu kwa upambanaji huo?
 
tumeshuhudia mbio, misemo na hararati za kupunguza nguvu lowassa bila mafanikio.

Wakati karibu robo ya wana ccm wakisema hawamhitaji, robo tatu wanamkumbatia na kusema huyu ndiyetunamhitaji,wakati vyama vya siasa na asasi za kiraia pamoja na baadhi ya makanisa wakimpìnga na kidiriki kurudisha hata fedha za mmoja wa washirika wake(rostam), huku baadhi ya makanisa na misikiti wamaemua kurudia mataishi yao kwa kuwageuka wananchi na waumini wao kwa kuwasalita na sasa wanajinafasi na fedha haram na wengine kuduriki kuzisifia na kuzitakasa bila kujali hali za waumani wao.

Wakati tukukuru wakijisifù kuwa wameweza kuwadhibiti watoa rushwa arumeru na kushangilia kama mazuzu,huku lowasa anaamuwa kuwadhibitishia kuwa anaweza kwa kuwahonga wana ccm haohao na hatimae mtuwake amepita tena wanasema kwa kishindo,sasa wananchi tumebaki kushangaa bili kujia nani anayeweza kutusaidia maana watetulio wategemea wametusaliti na sasa wanakula na kulala pamoja na wabaya wetu.

Swali la kujiuliza ni je? Hizo fedha anazowahonga makanisa, misikiti, baadhi ya vyombo vya habari na wana ccm wenzake,anazitoa waipi?kama anapewa na marafikizake je?ataliaje fadhila hapo badae?

Watanzania sasa yatupasa kuzinduka na kwa makini kuliko wakati wowote vitahivi tumeachiwa wenyewe na tusitegemee msaada tena kwani wote sasahivi ni wasaliti na hawana huruma na sisi.

wapi misikiti imepokea pesa za richmond? Makanisa yamezoea kula jasho la watz. Misikiti hakuna upuuzi huo. Haya ni mambo ya kanisa. Acha kupakazia nyumba za mungu misikit na pesa za fisadi
 
KIM:mimi naona hata hao chadema wamechoka sasa maana kila wanapo jaribu kuonyesha uchafu wa lowesa,makanisa na misikiti wanamwalika kwenye harambee na kumsafisha
 
Nyerere alikuwa na nguvu kupita katiba! hivyo alipofariki kaacha katiba ambayo haina nguvu kumpita raisi wa Tanzania. unaposema Nyerere ni mzalendo wa kweli una maana gani? Mbona mwaka 1973 alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel halafu nchi yetu ilipoteza mamilion ya pesa ambazo zilikuwa zinatokana na utalii wa kiyahudi kuja tanzania, mauzo ya mbao Israel na mauzo ya mkonge? na alifanya hivyo si kwa sababu ya wananchi wa tanzania bali kwa sababu ya wananchi wa Misri!!
Nyerere alikua ana uhalali wa kuongoza nchi hii kwa katiba iliyopo japo ina mapungufu na kumpa madaraka makubwa sana rais,kwa vile hakuwa mlafi,alikua mzalendo na alikua msafi,lakini kwa sasa katiba hii haifai kwa kua viongozi waliopo ni walafi,wezi na hawana uzalendo na nchi yao wanatumia udhaifu huo wa katiba iliyopo kufanya madhambi hayo- proff Issa Shivji (quoted kwy kongamano la katiba udsm) tukirudi kwy suala la kuvunja balozi na mamilion yaliyopotea kutokana na kupoteza watalii na biashara ya mbao kwa israel (japo sina uhakika nitajaribu kupata ukweli) wewe unaona lipi bora,kuruhusu rasilimali zetu kama tanzanite,dhahabu,wanyama kuchukuliwa kiholela na wachuuzi uchwara wa nje wanaojiita wawekezaji wakati taifa halina linachofaidika nacho zaidi ya kupoteza,kuingia mikataba mibovu inayowafanya watu wachache kua mamilionea au huo uhusiano wa kibalozi na Israel aliovunja Nyerere mwaka 1973?try to think big alafu uje na jibu la kueleweka
 
Hakunaga kama lowasa,ccm created a Monster in their hands and now non of them gonna stop him,he is turning back on them and the hunter now is hunted
 
Tunatarajia chadema ndio iifanye hiyo kazi maana hatujasikia ikimchana hadharani Lowassa kwa muda sasa na pia kumekua na taarifa chadema hasa viongozi wa juu wamekua na ukaribu unaotia mashaka na lowassa;je chadema wamewasaliti watz kwa kukumbatia mafisadi na si kuwapinga kama walivyojipambanua mwanzo na kujipatia umaarufu kwa upambanaji huo?

Try to think big my fellow Tanzanian,sio kila post lazima uweke ushabiki wa chama
 
Back
Top Bottom